sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Lissu ameanza kampeni kabla ya wakati.
Kama sio huruma ya uongozi wa Chadema basi anastahili kukatwa jina lake maana ni mtomvu wa nidhamu na much know.
Lissu hufati sheria na kanuni za chama kazi yako ni kuropoka kila siku unataka ukae kwenye camera. Sasa umaejiweka kwenye mtego wa kukatwa jina.
Na sisi wapenda demokrasia tunasema aondolewe tumemchoka na visa vyake.