Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

Sasa tujiandae kwa spana....naona ataenda taasisi za kimataifa plus mabunge yenye nguvu duniani kueleza kilichotokea wakati wa uchaguzi...
 
Andika kifupi tu mama D.

Andika refu namna hii wakati yale mabegi meusi yaliwasaidia kubebea kura zenu mlizotiki kwa wagombea wenu sio poa.

Nyie hamkushinda, mlipora.

Mungu atupe uhai denooJ kuna siku utajuta kuwafahamu hao mabwana na utarudi kuisoma hiyo ndefu
 
Mtandao wa Jamii forum unasomwa na watu wengi na viongozi wengi hata Rais pia. Nahisi hawajachelewa kufanya hili tunalojadili.

Wapigania Uhuru wa SA wengine walikimbilia Tanzania hapo Morogoro walipopikwa walirejea kwao.

Ukiona watu wanaanza kukimbia nchi yao namna hii sio ishara njema.

Hivi unadhani walio ondoka kimya kimya kwenda huko wangapi Mimi na wewe hatujui. Sasa ili kuzima haya

1. Rais awatumie hawa
A) viongozi wa dini wanaoungwa mkono na vyama vya upinzani awakutanishe pamoja na hivyo vyama
2. Mabalozi wanaochangia maendeleo kwa asilimia kubwa nchini
4. Walio shiriki uchaguzi katika ngazi ya urais ili wazungumze. Otherwise kukimbia nchi sio ishara njema kabisa
 
Uzuri alishatuaga, kuwa baada ya uchaguzi ataondoka. Alichokosa ni nauli tu imebidi ajidai mkimbizi.
 
Matatizo yako hayawezi kuwa matatizo ya watanzania wengi.

Kuanzia leo fahamu, mabadiliko huwa hayazuiliki ila kama hapa yamezuilika mjue mnakosoro kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora amefanikiwa kuokoa roho yake.

Mapambano yanaendelea from whichever angle.
Mkuu niliwai sema hum LISSU anaakili nyingi wtu wako kaondoka, kuondoka sio shida shida nini kitafuata. Vita ni akili hata wakati tunamtwanga idd amin hatukua na jeshi kubwa, wala zana kubwa kuliko idd amini,ila akili kubwa ya viongozi kwa kipindi hicho chini ya mwalim tulimnyoosha na jeuri yake yote.

Viongozi wa kisiasa kuondoka kwa Sasa sio afya kwa nchi
 
Maandamano yasiyo na kikomo yameishia wapi ?Bora hata msingetaja maandamano.Wapinzani huwa mnakurupuka na kusema vitu ambayo hamuwezi timiza. Grow up.
You cannot demonstrate in the face of a brutal police force. You cannot demonstrate in the face of a regime which brooks no democratic opposition. Grow up.
 
Pasi shaka yoyote, hizi kesi ndio imebaki turufu yao kuu ya kummaliza Tundu Lissu, kumbe yeye alishauona mchezo kungali mapema kabisa.

..Lissu katumia akili sana.

..angekubali kwenda mahakamani angefungwa na most likely angefia gerezani.
 
Sheria za Kimataifa ziko wazi kuhusu Ubalozi na hii ni Dunia nzima, nchi ya Ujerumani haiwezi kuzivunja hata siku moja sababu ya huyo kichaa wenu, isitoshe hata kama angekwenda Ubalozi wa Komoro asingeshikwa pia, ...

..kwanini hakushikwa uwanja wa ndege wakati ana kesi mahakamani?

..tukubali kwamba serikali imesalimu amri kwa kumuacha aondoke wakati ikimhitaji akajibu mashtaka ya uchochezi.
 
sikimbii mapambano, ila nakwenda uwanja mwingine mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu.
Wewe harakati unaenda kufanyia nje ya nchi, makamanda wako bongo harakati wanafanyia kwenye thread za Jf! Sioni hii mission yenu ikifanikiwa maana wote mnaogopa kuingia field. All battles are won with boots on ground, zaidi ya hapo ni mbio za sakafuni tu.
 
..kwanini hakushikwa uwanja wa ndege wakati ana kesi mahakamani?

..tukubali kwamba serikali imesalimu amri kwa kumuacha aondoke wakati ikimhitaji akajibu mashtaka ya uchochezi.
Sasa mustakabali wa CHADEMA ukoje?

It seems to me they’ve resigned to fate.
 
mimi mama d nilikua mwanaharakat wa kupenda kusikia kipind kile cha slaa kampen zilikua kal sana tangu kusikia ishu za kusapot ushoga bad nilichukia sana .na kuwekwa lehani madini hapo ndio walinitibua.nawapongeza waheshimwa walioshinda majimbon kwa kishindo safar hii maji kila kona mpaka yamwagike
 
Duh, bandiko refu lisilo na mantiki, Issue hapa sio matokeo bali ni huku kutishana

Unakumbuka kauli ya Heri James? "Hatutatumia risasi, saivi ni sindano tu" Ilimlenga nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…