Pawa chilonda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 356
- 418
Km ana uraia wa nchi nyingine why Tume walimpa fomu na kumteua acha kuona wote humu Ni mazwazwa km weweMagufuli alisema wazi kuwa Lissu anakuja tu kuchafua amani ya nchi ana uraia na tiketi ya ubelgiji
Hahah! Unajipangaje kwa watu wamekukataa? Labda atarudi tena August 2025.[emoji38]
Jamani,ameamua aondoke?
Sasa si angebaki ili ajipange vizuri??
Kapate matibabu kwanza, cementi 35,000 TshsAnakimbia huku anasema sikimbii, ha ha ha duh.
Mmeshahamisha magoli, ilikuwa ni lazima tundu awe Raisi wa JMTZ baada ya Uchaguzi, ikaja maandamano bila ukomo nchi nzima sasa imegeuka kuwa Serikali yetu inamuogopa? Kama inamuogopa si ingemkabidhi Uraisi basi au hata tu wangeunda Serikali ya mseto ?
Inatia hasira majizi kuhalalisha kuwa uliopita ulikuwa ni uchaguzi. Kampuni ya Afrika Kusini iliprint ballot paper halali. Jamana wakaprint za wizi, mnadhani hatujui. Mimi nipo Jamana PrintersHahah! Unajipangaje kwa watu wamekukataa? Labda atarudi tena August 2025.
..tukio hili limedhihirisha kwamba Tanzania siyo nchi huru. inawezekana vipi haya yatokee wakati nchi hii ina serikali na vyombo vya dola?..
Saruji ni Tsh 35,000 kwa mfuko mmoja. Unazo taarifa hizo?Anakimbia huku anasema sikimbii, ha ha ha duh.
Hivi wewe mkuu utamzuia mtu mzima kwenda zake angali hakuombi hata nauli ya safari?Kama tungekuwa na viongozi wenye akili wangejitahidi kuhakikisha hawa viongozi wa upinzani wanabaki nchini.
Sasa ushindani kati ya Jiwe na Wapinzani unaenda kwenye ngazi ya kimataifa, ambako kwa kipimo chochote kile, Jiwe ni dhaifu sana.
[emoji38][emoji38]Walichimba thread za Jf
Sasa atajipanga saa ngapi?[emoji134]Hahah! Unajipangaje kwa watu wamekukataa? Labda atarudi tena August 2025.
Kwa nini usingeyasema haya kabla ya siku ya uchaguzi? Huu ni unafiki wa standard gauge, aliyetoa tenda South Afrika ndio alitoa tenda jamana.Inatia haosra majizi kuhalalisha kuwa uliopita ulikuwa ni uchanguzi. Kampuni ya afrika kusini ili print ballot paper halali. jamana wakaprint za wizi. mnadhani hatujui. mimi nipo Jamana Printers
Watanzania 2/3 hawajashiriki kupiga kura kwenye huo ushenzi uitwao uchaguzi, sijui ni watanzania gani unawaongelea. Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura full stop.
Siyo mapema, ndiyo ilikuwa ratiba yake; hakununua ticket hiyo leo bali alikuja nayo kuwa anaenda kumvuruga Magufuli wakati wa uchaguzi, na mara ukiisha anajiondokea anakwenda kusubiri uchaguzi mwingine ndipo arudi tena, ingawa wakati huo Magufuli hatakuwa mgombea wa kuvuruga tena.Aisee kakimbia mapema hivi? Dahhhhhhh
Katika hatua nyingine, mke wa Lissu, Alicia Magabe, ameondoka Tanzania kuelekea nchini Ubelgiji. Magabe aliondoka nchini, mwishoni mwa wiki iliyopita.Na yeye kaondoka na familia? [emoji16]