Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Aksante Sana Mungu kwa Kujibu maombi yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo amekumbuka kuvaa barakoa wakati kwa muda wote wa kampeni kapiga pua nje.Bora ajiondokee tu linchi limekuwa la hovyo kabisa.
Mkaombwa muingie barabarani ili mumtoe madarakani badala yake mkaingia kwenye threads mbalimbali za JFHasa ukiwa na kichaa mbwa koko mmoja aliyejivika urais kwa nguvu ya dola ni hataree sana.
Na kweli, kama angebaki hapa nchini, wale watesi wake walishapania kwa "maagizo" ya Jiwe, walikuwa wammalize kabisaBora ajiondokee tu linchi limekuwa la hovyo kabisa.
Sema roho yako inakuuma.Amekuacha? Ndiyo ujue wanasiasa wa upinzania siyo watu wa kuwaamini. Amekuacha kwenye mataa, hivi fikiria ungekuwa umeandamana na kuvunjwa mguu, yeye huyoooooooo anaenda kula kuku kwa mrija
Na yeye kaondoka na familia? [emoji16]
First attempt umekoswa kwa risasi 36 na. Run awayAise ndy tumefikia huku
Mambo ya kishamba sana haya
Ya kutoana uhai
Ova
Kwanini usiende weweKazi kweli kweli!
Wabunge wa Bawacha waende kuapishwa sasa!
Anakimbia huku anasema sikimbii, ha ha ha duh.
Mbona anaondoka bila kuingiza watu barabarani?Ipambanie tu familia yako, watanzania walikukataa kwenye box la kura na barabarani kwenye maandamano