Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

Anakimbia jeshi la kukodi kutoka Burundi lililovishwa jezi za polisi wa Tz
Vitu vingine vinafikirisha,ivi jeshi la Burundi linaweza kuwa effective na strong kuliko JWTZ? Hii dhana binafsi huwa siielewi kwakweli........anyway inawezekana wengine mnajua zaidi
 
Magufuli alisema wazi kuwa Lissu anakuja tu kuchafua amani ya nchi ana uraia na tiketi ya ubelgiji
Wewe ni mpumbavu, kama alikuwa na uraia wa huko iweje NEC wampitishe kugombea? Hamjui kuwa katishiwa maisha lakini pia ana clinic ya kuattend huko?
 
Aondoke tu, akibaki huku kuna mtu atamkamua.
Hata ingekua mimi ningeondoka, watanzania wengi wanapenda uongo wa Magufuli, hana nafasi yoyote ile ya kushinda ataishia kufa tu
 
Usaliti ndio nini?Mtu mzima unaoambiwa jambo la kijinga nawe ukalishika unaonekana mpuuzi!
Lissu aende tu,hizi maiti za bongo bado sana kujitambua!

Hawa mnaowatesa magerezani na wale masheikh?
 
Mkaombwa muingie barabarani ili mumtoe madarakani badala yake mkaingia kwenye threads mbalimbali za Jf
Endeleeni hivyo hivyo mtakuja vuna mnachopanda very soon.

Wanajaeshi muliingiza mtaani kufanya usafi, halafu bado unaleta diarrhea kutoka kwenye domo lako chafu.
 

..maana yake serikali ya Tanzania imesalimu amri.

..imeogopa kumkamata Lissu kwani ingechukuliwa hatua na serikali ya Ujerumani.
 

Bora kuwa mkimbizi ulaya, kuliko kuishi kimasikini na hofu hapa bongo.
 
..kama ni kweli Tundu Lissu ameondoka, basi serikali imetumia busara.

..serikali ingeamua kumkamata tungetumbukia ktk MGOGORO WA KIDIPLOMASIA na Ujerumani.
Busara ya kuwinda mtu mpaka anakimbia nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…