Kama ni ugonjwa ungekuwa Schizophrenia. Mama unakosa kabisa consistency. Hueleweki. Sampuli za P. Mayalla siku za nyuma. Siku hizi ni ccm mbele kwa yote. Hatuna shida naye. Aliko ni wazi kabisa. Jitambue tukutambue!Maandamano yasiyo na kikomo yameishia wapi? Bora hata msingetaja maandamano. Wapinzani huwa mnakurupuka na kusema vitu ambayo hamuwezi timiza. Grow up.