Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

nadhani kidhibiti kikubwa ni mwili wake ambao umejeruhiwa sana , tutafukua haya mambo mbele ya safari ikibidi , kwa sasa serikali ya ccm haina mpango wa kujiumbua yenyewe mahakamani

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Namba 4 : Polisi haijawahi kumtafuta Lissu wala dereva wake

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Yule aliyekwenda anatetewa na wauaji wenzake tu, mtu mwenye hekima yeyote hawez shangilia tukio lililomkuta lissu
 
Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?

USSR
kuna neno inakadiliwa au inasemekana ktk uandishi inakubalika tu.more than or less than.
 

Na kilimgharimu Aisee
 
Because he is a victor by MCH. Mwingira....efatha ministry
 
Huyo askari magereza kwenye Avatar yako alituhumiwa kua ana mihuri ya Ikulu....

Anakagua simu za wafungwa...Sasa jamaa akajichanganya Kwa the late JPM...

Ivi huyo askari magereza yupo hai Kweli maana JPM alimgeukia mbogo....lija maa linaonyesha ni likatili sana likiongea na JPM kama linaongea na bwana shemeji 😊😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Jamaa kwanza alihamishiwa Ukerewe baada ya Magufuli kupita Butimba. Ila baadaye nasikia alifikisha umri wa kustaafu. Yote kwa yote alituheshimisha sana yule kamanda wa magereza
 
Jamaa kwanza alihamishiwa Ukerewe baada ya Magufuli kupita Butimba. Ila baadaye nasikia alifikisha umri wa kustaafu. Yote kwa yote alituheshimisha sana yule kamanda wa magereza
Anaongea na Mh. Raisi kama anaongea na mkwirima🤓😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Huyo siyo lissu. Hapo ni lugalo. Walistage ilo tukio kesho yake baada ya lisu kupogwa risas huyo mbabu ni mwanausalama eti naye kapigwa risasi

Yani hukohuko tu kwa shemeji yako kabla lisu kupigwa risasi hadi basda ya kupigwa risasi
Kabla ya tukio la Kisu kupigwa risasi, nakumbuka kuna wakati alilazwa hosipitali kwa ugonjwa na Magu akamtenbelea kumjulia hali, kwa hiyo picha hiyo si ya maigizo, ni halisi.
 
Kabla ya tukio la Kisu kupigwa risasi, nakumbuka kuna wakati alilazwa hosipitali kwa ugonjwa na Magu akamtenbelea kumjulia hali, kwa hiyo picha hiyo si ya maigizo, ni halisi.
Huyo siyo lissu wewe mbwiga huyo ni jenerali wa jeshi wanasingizia alipigwa risasi akiingia kwake iyo ni baada ya lissu kupigwa risasi.

Bongo tuna mambwiga serious.
 
Mwangosi..ilikuwaje
 
safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Wewe na Magufuli wenu ndio mkome!

Magufuli kafa, Lissu yuko hai - huo ndio ukuu na utukufu wa Mwenyezi MUNGU!

Hiyo ndio habari ya mjini, kwamba - uovu umeshindwa (kama kawaida) na wema!

Go Lissu!! Go champion!!
 
Wewe na Magufuli wenu ndio mkome!

Magufuli kafa, Lissu yuko hai - huo ndio ukuu na utukufu wa Mwenyezi MUNGU!

Hiyo ndio habari ya mjini, kwamba - uovu umeshindwa (kama kawaida) na wema!

Go Lissu!! Go champion!!
wewe na yeye ndo mkome, magufuli Yuko mbinguni anaongoza malaika kisifu na kumuabudu Mungu, Mimi mfuasi wake Niko hapa nawaongezea dozi kina chiba.

pambaaaafu sana
 
wewe na yeye ndo mkome, magufuli Yuko mbinguni anaongoza malaika kisifu na kumuabudu Mungu, Mimi mfuasi wake Niko hapa nawaongezea dozi kina chiba.

pambaaaafu sana
Mbinguni ni patakatifu mno, kule hawaendi wala hawangii waovu kama 'shujaa wako' Magufuli, kule sio hapo Magogoni au Chamwino.

Hivi nyie Magufuli aliwalogaje??

Chukua hii:-

"Lakini waoga, WASIOAMINI, wachafu, WAUAJI, WAZINZI, WACHAWI, Waabudu Sanamu, pamoja na WAONGO WOTE, mahali pao ni katika lile ZIWA LIWAKALO MOTO NA KIBERITI. Hiyo ndio mauti ya pili". - Ufunuo 21:8

NB: Hizo nilizo bold zote ni dhambi na matendo ya Mwendazake alipokuwa pande hizi.

Ushauri: Chukua tahadhari na ujitahidi usiende motoni kama yeye.
 
Huyo siyo lissu wewe mbwiga huyo ni jenerali wa jeshi wanasingizia alipigwa risasi akiingia kwake iyo ni baada ya lissu kupigwa risasi.

Bongo tuna mambwiga serious.
Kwani kupiga soga kwa kubadilishana tu kumbu kumbu hadi tutukanane kwanza, kuna ulazima gani wa kukumbushana issue huku mmetunushiana misuli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…