Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mgombea wa CCM John Pombe Joseph Magufuli amesema kwa kipindi cha miaka 5 ametengeneza ajira milioni 6.Hana jipya. Mguu haukunji so what?
Sasa badala ya kumjibu prof Kitila Mkumbo kwamba wewe unamaji na sio mkavuHana jipya. Mguu haukunji so what?
Na viongozi wa dini wapo kimya wanayaona haya matishio dhidi ya haki kweli kwa Mungu wataenda wachahche Sana sitashangaa kumuona kadinaly pengo motoni.Ni kweli kabisa wao kama wao hawana tatizo, ni hofu ya kitakachowapata kutoka kwa wenye mamlaka. Hapo sasa ndio pagumu
Mkuu,mbona kama unataka kumpa mamlaka(TAL) ,kabla ya....,msaada kama hana bado...!Kuna haja ya huyu rais mtarajiwa aongee ajenda za uchaguzi kwa undani, hata hapo alipoongea na wahariri awaeleze japo hawataandika, kutoa story kiundani ila ujumbe wawe nao.
Kikubwa wahariri wamwambie Lissu ukweli, sheria mpya iliyotungwa na ccm dhidi ya taasisi za habari imekuwa mwiba mkali kwa vyombo vya habari hata wafanyakazi wenyewe wa media hizo wanahofu na maisha yao, so wanashtuka!.
Mkuu, kanisome tena. Mimi na CCM au mimi na Yohana wapi na wapi. You misssed something somewhere!Hizo ni Rushwa na siyo specificality yoyote,RUSHWA ya vitu vinavyopaswa kuwa kwenye bajeti na siyo kwenye ilani mnayodai ndimo kuna sera.Hamjitambui,mnalikoroga kila mkifungua vinywa mbele ya vipaza sauti. Mfano wa haya ni huu mtindo wa kuburudisha watu wenye njaa kwa muziki mnene.Wasanii hao hao mnaowatumia ndio wale wale mliowafungia kazi zao,wengine mliwateka nk......
Aliwahi kusema hivi.... 👇👇PhD si ya kemia.
Unajua sheria ni lugha sana sana tena lugha yenyewe ni English
Raisi wa mioyo yenu Lowasa bado yupo mioni au mlishamtupa baada ya uchaguzi?Tundu Lissu ndiye Rais wetu. Haijapata kutokea mtu akaongea madini kiasi hiki kwa Tanzania yetu. Huyu ndiye wa kutuongoza, ndiye wa kutushika mkono. Kwa kweli tumebarikiwa Watanzania. Tumeachwa mayatima miaka 5 tu. Kumlilia Mungu kidogo tu, katuletea mkombozi.
Asante Mungu kwa Tundu Lissu.
Hana jipya. Mguu haukunji so what?
Maelezo yote hayo, we umeona swala la mguu kutokunja vizuri tu?Hana jipya. Mguu haukunji so what?
Mgombea wako kikaza mwenye PhD ya korosho na hawezi kuongea sentesi moja ya kingereza ilihali kasoma na kufundisha kwa kingereza.Hana jipya. Mguu haukunji so what?
Lissu na Mzee Lowassa nani afya yake ni mgogoro zaidi?Hana jipya. Mguu haukunji so what?