Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aongea na Wahariri wa Vyombo vya Habari - Sept 9, 2020, ataenda Mahakamani kwenye kesi zake Kampeni zikiisha

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aongea na Wahariri wa Vyombo vya Habari - Sept 9, 2020, ataenda Mahakamani kwenye kesi zake Kampeni zikiisha

Hana jipya. Mguu haukunji so what?
Mgombea wa CCM John Pombe Joseph Magufuli amesema kwa kipindi cha miaka 5 ametengeneza ajira milioni 6.

Nyie waimba sifa wake mwambieni labda waliojiriwa walitangaziwa ajira Ikulu, wakafanyiwa interview Ikulu,wakaajiriwa Ikulu. Lakin Huku mtaani kwetu vijana hawana ajira,walimu hawana ajira.Hali ni ngumu Mzee.
 
Lisu anagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Urais wa Tanganyika??

Maana yeye sio muumini wa Muungano.
 
Umeongea kwa hisia sana ndugu,,ila kasema uzinduzi tu ndiyo.kwanza ulikuwa unafanyika kwa siku hizi 10.Huenda awamu zinazofuata sasa ,uelekeo wako.pia waweza pata majibu.Kinyume chake ,basi tutaanza kulaumu.
 
Ni kweli kabisa wao kama wao hawana tatizo, ni hofu ya kitakachowapata kutoka kwa wenye mamlaka. Hapo sasa ndio pagumu
Na viongozi wa dini wapo kimya wanayaona haya matishio dhidi ya haki kweli kwa Mungu wataenda wachahche Sana sitashangaa kumuona kadinaly pengo motoni.
 
wajinga na wasozijua siasa ndo wahanga wakubwa wa propaganda za tundu lissu, hakuna asichokijua tundu lissu kuhusu mabeberu...

mabeberu ndo wamesababisha afrika iwe duni hadi kesho kwa kuunda mifumo kandamizi ya kiutawala inayonuwafaisha wao na kuwafanya waafrika wategemezi milele kwao...

gadafi aliifanya libya kama paradise ya dunia bt kwa chuki zao na kutotaka kuzidiwa wakamuundia zengwe akauawa, hadi leo kinachoendelea libya ndo furaha ya mabeberu.
 
Kuna haja ya huyu rais mtarajiwa aongee ajenda za uchaguzi kwa undani, hata hapo alipoongea na wahariri awaeleze japo hawataandika, kutoa story kiundani ila ujumbe wawe nao.

Kikubwa wahariri wamwambie Lissu ukweli, sheria mpya iliyotungwa na ccm dhidi ya taasisi za habari imekuwa mwiba mkali kwa vyombo vya habari hata wafanyakazi wenyewe wa media hizo wanahofu na maisha yao, so wanashtuka!.
Mkuu,mbona kama unataka kumpa mamlaka(TAL) ,kabla ya....,msaada kama hana bado...!
 
Itoshe tu kusema Tundu Lissu anaakili nyingi sn na maccm hawataki watu wenye akili waishi..... Wanataka watu wa type ya misukule ya lumumba
 
Hizo ni Rushwa na siyo specificality yoyote,RUSHWA ya vitu vinavyopaswa kuwa kwenye bajeti na siyo kwenye ilani mnayodai ndimo kuna sera.Hamjitambui,mnalikoroga kila mkifungua vinywa mbele ya vipaza sauti. Mfano wa haya ni huu mtindo wa kuburudisha watu wenye njaa kwa muziki mnene.Wasanii hao hao mnaowatumia ndio wale wale mliowafungia kazi zao,wengine mliwateka nk......
Mkuu, kanisome tena. Mimi na CCM au mimi na Yohana wapi na wapi. You misssed something somewhere!
 

Attachments

  • 118964469_768149927085891_6618407546036547503_n.mp4
    145.9 KB
Tundu Lissu ndiye Rais wetu. Haijapata kutokea mtu akaongea madini kiasi hiki kwa Tanzania yetu. Huyu ndiye wa kutuongoza, ndiye wa kutushika mkono. Kwa kweli tumebarikiwa Watanzania. Tumeachwa mayatima miaka 5 tu. Kumlilia Mungu kidogo tu, katuletea mkombozi.

Asante Mungu kwa Tundu Lissu.
 
Tundu Lissu ndiye Rais wetu. Haijapata kutokea mtu akaongea madini kiasi hiki kwa Tanzania yetu. Huyu ndiye wa kutuongoza, ndiye wa kutushika mkono. Kwa kweli tumebarikiwa Watanzania. Tumeachwa mayatima miaka 5 tu. Kumlilia Mungu kidogo tu, katuletea mkombozi.

Asante Mungu kwa Tundu Lissu.
Raisi wa mioyo yenu Lowasa bado yupo mioni au mlishamtupa baada ya uchaguzi?
Tundu nae zamu yake inafuata.
 
Kaongea vizuri sana. Lissu anauwezo wa kujielezea.
 
Lisu anaongea kama kiumbe toka sayari nyingine. Meko akimsikia lazima ajambe
 
Chadema yenyewe ile Peoples Power ilishakufaga yeye kakutana na chadema mbovu kila idara,na alivyokuwa na kichwa cha mihemko lazima pumzi ikate.
 
Back
Top Bottom