YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Walizoea siasa za personal attacks enzi za Kikwete sasa watanzania wamekomaa politically wanataka sera sio umbeya wa kuongelea mtuShida ya lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Halafu ona anaongea vitu Ushahidi hana anasema Magufuli anataka kuongeza miaka 10!!! HIVI kweli kuna chombo chochote cha habari anategemea kiandike huo ujinga?
Hawaandikwi wala kutangazwa sababu ya matamshi yao wenyewe yako chini ya kiwango na kinyume cha sheria