Kama alikuwa hamaanishi hivyo alikuwa anaropoka basi! Sasa unaona ni jambo jema kuropoka ropoka kila wakati akisimama jukwaani?Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Jee hao ambao sio weupe anawasikiliza sawa na weupe?Simjibii!, ila ni kwa sababu namjua ! Ule ni utani tu na hajaanza leo! em nijibu hili swali ! Kwenye serikali ya JPM kuna wanawake weupe tu?.
Kama hawapendi weusi asingeweza kuwateua ! Acheni viroja , jikiteni kwenye sera zenu!.Jee hao ambao sio weupe anawasikiliza sawa na weupe?
Unatetea alichokisema mwenyewe?
Ni kweli serekalini kumejaa wanawake weusi na ni kweli kabisa kuwa Magufuli anafanya utani lakini hoja yangu ya msingi ni kwamba Rais hapaswi kufanya utani unaobomoa nchi au utani wa kibaguzi kwa sababu Rais huwa anafuatiliwa na nchi tofauti tofauti ambazo zinakuwa na tafsiri tofauti tofauti katika kile Rais anachofanya na kuongea.Hii inaweza kupelekea utani wake wa kibaguzi kutafsiriwa vibaya na kuonekana kuwa Watanzania ni watu wasiojitambua,wabaguzi na watu wa hovyo.Na hili ndilo lililotokea.Maelezo mareefu ! Unafikili sijui hayo! Naomba unijibu hilo swali nililouliza kwanza!.
Sera za lisu tumeshazisikia na ndio maanatunamuunga mkono sana.Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Jamaa anajua sana ku - articulate jamboMgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake
My Take
Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha wanawake
View attachment 1597203
Kila siku anapanda tu kwenye majukua kututania sisi?Simjibii!, ila ni kwa sababu namjua ! Ule ni utani tu na hajaanza leo! em nijibu hili swali ! Kwenye serikali ya JPM kuna wanawake weupe tu?.
Naskia na wanamichezo pia pia wanajambo lao oktoba ishinanane baada ya uwanja wa Taifa kuachwa vipara baada ya tamasha la chama cha chanikiwiti!View attachment 1597224
28/10 2020 wanawake weusi tuna jambo letu
Black is beauty
Kwa iyo hakumaanisha.? π π πHivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
Anahitaji vitoto white, Tulia sio toney red, sio brown, sio neutral, ni rangi ya buti la Jeshi.Nileteeni Tulia, Nitatulia, Tulia Tulia ππππ πππ
Huenda anazungumzia kwa utani maana wasukuma na wazaramo watu wa pwani ni watani, na matamko yote aliyatoa akiwa mikoa ya ukanda wa Pwani, ni utani utamaduni wetu wa tzMgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake
My Take
Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha wanawake #BlackWomenMatters
View attachment 1597203
Tulia libaya, jeusi Kama mkaa wa chunya, mnataka huo mkosi tuupeleke wapi?JPM anaamini katika uzuri tena weupe, hata malikia Ester alienda kwa mfalme akiwa wakupendeza Sasa janamke jeusi ti Kama mkaa na bayaa hata likija kuomba kitu unajiuliza kwanini halijaishia ngazi za chini huko? Haaa! Nipo natania tu.
πππππ ππAnahitaji vitoto white, Tulia sio toney red, sio brown, sio neutral, ni rangi ya buti la Jeshi.
Akiwa Taifa Mkapa Stadium kasema HASIKILIZI WANAWAKE MIPINGO " EBONY"