Ahaaaaaaa vijana pungeni muhemko,,,uchaguzi ni maandalizi ,,Lowassa hakupata zile kura kwa kubahatisha,,alianza kujiandaaa toka 2010 ndo maana alipanga safu yake ya viongozi ndani ya CCM,,,ingekuwa kuna kupigiwa kura Lowassa angempiga Magufuli mapema sana,,,,Watu timamu hawaandaliwi kwa vipande vya fedha wanajiandaa kwa kutenda mambo yao kwa usahihi ili wakubalike kwa wapiga kura siku wakitoa sera zao.Huyo Mbowe kama aliwaandaa wapiga kura basi si mwanademokrasia wa kweli.
😂😂😂😂Hili tapeli litaondoka kwa aibu kuu.
View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Bahati mbaya hao karibu wote sio wajumbe wa mkutano wa uchaguzi
Shida waliopiga kura twitter siyo ndo wapiga kura kwenye mkutano,,,Lissu huu uchaguzi hatoboi hata nusu ya kura,,,,wakati Mbowe alishapanga safu yake,Uchaguzi ni maaandalizi siyo unakurupuka tu unasema unagombea,,,Lissu anafikiri atapigiwa kura na akina sativa na sarungi
chama ni wanachama, kama Lisu amepigiwa kura na watu 10,204 wasio wanachama wa chadema, ana mtaji mkubwa wa wanachama, why keep fighting with people within the party while you have such a support? form your own party..or join any established party having such sufficient capital! hata asisumbuke kugombea..Lisu ahame chadema!
Hawana effect km Lisu ataendelea kubaki chadema, wana effect akiamua kuhama chadema na kujiunga na chama kingine au hata kuanzisha chama!Hiyo hiyo ya Twitter ni jamii nayo, kumbuka kwenye poll wamepiga kura watu 10K hayo siyo kidogo wana effect kubwa sn
..sasa huo ni wendawazimu, ndio maana hakuna mtu mwenye akili sawa sawa anaweza amini upuuzi wenu na kele mnazopiga!Lissu ahami tupo naye.
Sawa jamiii lakini siyo wajumbe wa mkutano mkuu,,,alaf jamii ipi hiyo?twitter au
I second you.Naunga mkono.Ukiangalia jinsi anavyosifiwa na maadui wa Lisu, nachelea kusema kwamba huenda katika shambulio la Lisu kuna baraka zake. Maana walianza kutofautiana zaman toka alivyomleta Lowasa kugombea uraisi kwa nguvu na pia Lisu alianza kuonekana kuwa tishio kwa nafasi yake tangu miaka 9 iliyopita.
..sasa huo ni wendawazimu, ndio maana hakuna mtu mwenye akili sawa sawa anaweza amini upuuzi wenu na kele mnazopiga!
Wajumbe walishahongwa huo ujumbe,,,kanda zote zinashikiliwa na wafuasi wa Mbowe,,,hapo Lissu anatoboaje sasa
Ni kweli hawapo mitandaoni,huku kumejaa washabiki na wapiga kelele
..hakuna mtu anapenda kukaa mahali hatakiwi, yeye ana watu wengi nje ya chadema..ya nini kubaki asikotakiwa? Mbowe hawezi kuhama, na sababu unazijua! kati yao mwenye best option ya kuhama ni lisu, vinginevyo hao tiss wanaowalipa mpige kelele hapa wana lao jambo!Kwanini unalazimisha Lissu ahame?. Yani nyie uenyekiti ni wa Mbowe tu?. Mara hii mtahama nyie na Mbowe wenu.
Tuwekee na ya JF
Ni ujinga kufuatilia kura za maoni mtandaoni badala ya Katiba ya CHADEMA.View attachment 3183324
Kwa mujibu wa kura za maoni zilizo fanywa na Jambo online TV matokeo yapo hiv:
Watoa maoni: 12,148
Tundu Lissu kapata kura 10,204 sawa na 84%
Freeman Mbowe kapata kura 1,944 sawa na 16%.
Haya ni maoni ya watanzania walio nje ya mfumo wa Chadema. Wajumbe wa mkutano mkuu wana nafasi ya kuyakubali au kuyakataa.
Nyie ni washabiki tuKwa hivyo Wajumbe wa kamati Kuu wanaishi Sayari ya Mars? Acheni uongo. Mbowe Hana chake.
Sawa kwa kuwa mitandao ndo inapiga kura !