technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Pascal kapotea Sana jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi hamtaki kupingwa.Musiba na Le Mutuz wanachokitafuta watakipata soon, wanadhani nchi hii ni mali yao binafsi. Subiri waingie kwenye target zetu Mkuu.
Tupingane kwa hoja na si mitutu ya bunduki, kutekana na kutupwa kwenye viroba, matumizi ya nguvu za dola na kupigwa risasi mchana kweupe tena kwa kutumia silaha za kivita.Nyinyi hamtaki kupingwa.
Wamekuja kushuhudia muujiza siyo Chadema!Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo.
Akiwa na msafara mkubwa wa magari, pikipiki, bajaji, baiskeli na Punda kiongozi huyo kipenzi Cha Watanzania ameingia rasmi kwenye Jimbo lake la Singida Mashariki alilokuwa mbunge kwa vipindi viwili kabla hajapigwa risasi 16 mwilini mwake na watu wanaoitwa wasiojulikana.
Lissu amelakiwa na wazee, wanawake, vijana, watoto na vikongwe huku wakitandika kanga na nguo ili mwanamapinduzi huyo anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais kuweza kupitia juu yake.
View attachment 1532086View attachment 1532087View attachment 1532089
Tunaendelea kuwaletea kinachojiri.....Endelea kutufuatilia....
Hauwezi kuzipata.Mapokezi huwa naamini ni picha za barabarani au mtu anapowasili ila hizo picha
raia mbona wamekaa wote nadhan na mgeni rasmi kashafika meza kuu katulia
ingependeza ungetuonesha picha za mapokezi ya kifalme mithili ya yesu akiingiia yerusalem
nadhani unakumbuka ingia na mapokezi ya yesu alivyokua akiingia yerusalem,picha za namna hyo sasa.
Namuazishia uzi mkuuPascal kapotea Sana jukwaani
Lowasa alishinda kamwachia Magu baada ya mazungumzo na wazee wa ccm,kwa Lisu musahau magu lazima aangukie puaHivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Acha wivu.Umeona mapokezi ya membe na Maalim seif huko Zanzibar?. Yale ndio mapokezi ya mgombea urais. Haya ya kwenu ni kikao cha familia.
Lowasa Mungu atasikia manung'uniko yetu...nasema Mungu sikia vilio vyetu utoe adhabu ikupendezayo hapa hapa duniani!Nipo hapa singida kwenye seminar kikazi, ila kiukweli Lissu ni namba nyingine, Lowasa haoni ndani kwa nyomi.
Musiba na Le Mutuz wamteka naniTupingane kwa hoja na si mitutu ya bunduki, kutekana na kutupwa kwenye viroba, matumizi ya nguvu za dola na kupigwa risasi mchana kweupe tena kwa kutumia silaha za kivita.
Hivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Nafkiri kwenye hiyo username yako umesahau herufi n baada ya neno mse... hakika umeisadifu ID yako.Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
huku viunga vya Lumumba, MATAGA v-y-u-p-i vimewabana si mchezo.CCM mwaka huu wana kazi ya ziada!!