Tundu Lissu apata mapokezi ya Kifalme Kijijini kwao Singida

Tundu Lissu apata mapokezi ya Kifalme Kijijini kwao Singida

Hivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Punguza jazba na wivu Mkuu.
 
Hivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Kwa hiyo mnaandaa risasi zingine upya!!
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo.

Akiwa na msafara mkubwa wa magari, pikipiki, bajaji, baiskeli na Punda kiongozi huyo kipenzi Cha Watanzania ameingia rasmi kwenye Jimbo lake la Singida Mashariki alilokuwa mbunge kwa vipindi viwili kabla hajapigwa risasi 16 mwilini mwake na watu wanaoitwa wasiojulikana.

Lissu amelakiwa na wazee, wanawake, vijana, watoto na vikongwe huku wakitandika kanga na nguo ili mwanamapinduzi huyo anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais kuweza kupitia juu yake.
View attachment 1532086View attachment 1532087View attachment 1532089
Tunaendelea kuwaletea kinachojiri.....Endelea kutufuatilia....
Waziri wa propaganda
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo.

Akiwa na msafara mkubwa wa magari, pikipiki, bajaji, baiskeli na Punda kiongozi huyo kipenzi Cha Watanzania ameingia rasmi kwenye Jimbo lake la Singida Mashariki alilokuwa mbunge kwa vipindi viwili kabla hajapigwa risasi 16 mwilini mwake na watu wanaoitwa wasiojulikana.

Lissu amelakiwa na wazee, wanawake, vijana, watoto na vikongwe huku wakitandika kanga na nguo ili mwanamapinduzi huyo anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais kuweza kupitia juu yake.
View attachment 1532086View attachment 1532087View attachment 1532089
Tunaendelea kuwaletea kinachojiri.....Endelea kutufuatilia....

Corona na mikusanyiko vipi. Maana anaizungumzia sana, je anachukua tahadhari!
 
Subpost 3 - kharibu Ukhaya Mwambwa Raisi ( 386 X 640 ).jpg
Subpost 1 - kharibu Ukhaya Mwambwa Raisi ( 386 X 640 ).jpg
Mapokezi ya mgombea urais wa Chadema @- Tundu_Lissu Mkoani Singida. - NiYeye2020 -  ( 360 X 64...jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe kapiga nyomi kwao ngoja magufuli na yeye aende uko uone ndio utaona nguvu ya mzee wetu mpendwa alafu picha mbona hamtumi au mnasubir mu edit pia mkumbuke Kuna watu walideki lami na bado wakapigwa mtungo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kumbe kapiga nyomi kwao ngoja magufuli na yeye aende uko uone ndio utaona nguvu ya mzee wetu mpendwa alafu picha mbona hamtumi au mnasubir mu edit pia mkumbuke Kuna watu walideki lami na bado wakapigwa mtungo
Magufuli aende kwao mara ngapi c alifanya kampeni miaka5 na wameshamkinai hana jipya,ngoja Lisu aende huko kwao uone
 
CCM mwaka huu wana kazi ya ziada!!
Kwani kurudi chato ni kazi ngumu mbona Kuna chato airport labda Sheria ya uchaguzi iseme ukishindwa urais Rudi kwenu ya mguu itakuwa kazi ya ziada kwa mchato wao
 
Shukrani za pekee ziifikie Serikali kwa kufanya uungwana wa kuwaruhusu na kuwalinda watu katika kukufanya mikutano ya amani kama hii,
Hakika Serikali ikiendelea na utaratibu huu wa kuwalinda wanaofanya mikutano ya amani, vurugu, mauaji na kuumiza watu hakutatokea kamwe.
Serikali itapata heshima kubwa ndani na nje ya Inchi.
Hii ndiyo Demokrasia halisi.
Hatutaki kusikia tena mtu amepigwa risasi na watu wasio julikana.
 
Hivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Tambua kuwa Lowasa hakushindwa bali alitekeleza makubaliano yao ya kuhakikisha CCM inaendelea kutawala kwa kujifanya kukubali matokeo ambayo kiuhalisia alikuwa ameshinda na ndio maana zoezi la kuhesabu kura lilikuwa ni la ajabu ajabu kama ulifuatilia vizuri.
 
..kwa kweli idara ya habari ya CDM imesinzia.

..tukio la kihistoria kama hili wanashindwa kulirusha?
 
Na uchaguzi huu pia lisu ana makubaliano maana hawezi kushinda? Baada ya uchaguzi tutakuja kufukua hii thread,mi nasema hakuna mgombea nje ya CCM anae weza kumshinda mgombea wa CCM yeyote anaejaribu anakuwa kwenye lile kapu la losers [emoji23][emoji1787]
Awamu ya pili ndipo utawala huu wa mkono wa chuma utakapotamalaki zaidi, JPM na CCM yake sasa basi. Mitano ya Utawala wa Imla Yatosha.
 
..kwa kweli idara ya habari ya CDM imesinzia.

..tukio la kihistoria kama hili wanashindwa kulirusha?
Kuna mabadiriko makubwa sana na ya haraka yanatakiwa yafanyike kitengo cha Habari Chadema. Mtaaani hakulaliki hapakaliki watu wanataka habari za Lissu alafu wao wanalala. Hapana wanatakiwa wabadirike.
 
Back
Top Bottom