ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Kwani CCM ilishinda au ilitangazwa kua ilishinda?Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Wewe unafurahia kutangazwa na siyo kushinda?