Atropine
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 776
- 1,777
Population in Rural areas can't resemble with the one in Urban areas.Aisee CDM mnachekesha sana hiyo ndiyo kifalume ??? na ACT wasemeje ?
Ngumbaru wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Population in Rural areas can't resemble with the one in Urban areas.Aisee CDM mnachekesha sana hiyo ndiyo kifalume ??? na ACT wasemeje ?
Ya ki chief.Hayo ndio mapokezi ya kifalme?
Mkuu usihangaike na haoHapo ni kijijini, sio mjini
Kijijini kupata watu wengi hivi sio mchezo
Acha blah blahLissu asisitizw wananchi wasikusanyike na wavae barakoa banaaa.
Mbona CHADEMA WASANII WA KISIASA SANA NYINYI
Ni kishindo kikubwaNi maelfu, MTU kwao
Picha zipo za kutosha mkuuUsisahau na kapicha basi..
HuelewekiKwani wale waliokuwa wakipiga deki barabara walikuwa wapiga kura wa lowasa au sio wapiga kura wake? Unajua jiji la dar Lina wakazi milioni ngapi? Wewe unaona hao waliompokea lisu wasiofika elfu mbili mpaka uone ndio kamaliza tayari!!!!
Hayo ni mapokezi tu.Kampeni badoAsije akawekewa pingamizi kuwa alianza kampeni kabla ya wakati..
Blah blah
CHADEMA ni kusudio la Mungu kumleta hapa duniani ili aje atukomboe sisi WatanzaniaMgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo...
Umeona mapokezi ya membe na Maalim seif huko Zanzibar?. Yale ndio mapokezi ya mgombea urais. Haya ya kwenu ni kikao cha familia.
Sasa Kama jimboni kwake watu waliojitokeza ni wachache kiasi hiki, halafu bado ana matumaini ya kushinda.
Yaani CDM kwa propaganda za uongo mko vizuri hayo ndiyo mapokezi ya kifalume aseee , waliopata mapokezi ya kifalume ni ACT kule Zanzibar.
KabisaCHADEMA ni kusudio la Mungu kumleta hapa duniani ili aje atukomboe sisi Watanzania
Ajabu KabisaLisu anapendwa na watanzania wote kama ni kawaida mbona media zinakatazwa kuonesha misafara yake