Tundu Lissu apata mapokezi ya Kifalme Kijijini kwao Singida

Tundu Lissu apata mapokezi ya Kifalme Kijijini kwao Singida

Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo..
umeandika kwa hisia na bashasha kali mno. kuna watu wanateseka sana na muandiko wako
 
Huu uchaguzi unamtosha kabisa kuchanganyikiwa na Ile sonona yake risasi tumuachie mbowe na dereva wa lisu
Mmeshindwa kumkamata Ndugai ahojiwe, mnakwepa eti Mbowe mkamateni sasa, hamuwezi maanake ilikuwa ni "State Sponsored Thuggery".

Halafu mue mnaandika lugha za kueleweka sasa sonona ndio nini, hata kama ndio shule za kata hizo.!
 
Kwani ninyi migomba mnapokusanyika huwa mnavaa barakoa?
Hivi nyi kwa nn mnakua Kama nyumbu?
Mgombea wenu anasemakuna corona,nyinyi hamchukui Wala hamtaki kufata kanuni za afya.

Ndo Mana mnaonekana wahuni na wabwatukaji sana
 
Unaweza kuta huyu jamaa ni kiongozi wa ccm !
Mimi sina shida kama Lisu na Chadema muneamua kuwaibia wa marekani na ulaya mtajiua

Lakini waibieni kwa kutumia common sense pia!!; Ulaya Marekani na Afrika hatuna vijiji viko so populated na kuwa na population kubwa kama hiyo mliyoweka.

My call to Amsterdam and Company Ltd whether you are in Europe or America mind your wallets the bus you are in has a lot of thieves lead by chief bus conductor Tundu Lisu
 
Lisu na Chadema hiyo nyomi hamuwezi mdanganya yeyote kwenye hii dunia kuwa ni wanakijiji wa kijiji kimoja !! Hats waxungu mliozoea kuwalaghai hiyo nyomi hawawezi ikubali kuwa ya kijiji kimoja cha kwa Lisu!!! Huo uongo umekula kwenu
 
Natamani nikutandike ngumi moja matata ya kisogoni. Huwezi kuwa mchawi kiasi.
OK Americans and Europeans Mind your wallets In Africa we don't have any village that has a population that Lisu trays to portray to you to steal your money
 
Lisu na Chadema hiyo nyomi hamuwezi mdanganya yeyote kwenye hii dunia kuwa ni wanakijiji wa kijiji kimoja !! Hats waxungu mliozoea kuwalaghai hiyo nyomi hawawezi ikubali kuwa ya kijiji kimoja cha kwa Lisu!!! Huo uongo umekula kwenu
Hii nyomi unaiyona.
IMG_20201006_133954.jpg
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo.

Akiwa na msafara mkubwa wa magari, pikipiki, bajaji, baiskeli na Punda kiongozi huyo kipenzi Cha Watanzania ameingia rasmi kwenye Jimbo lake la Singida Mashariki alilokuwa mbunge kwa vipindi viwili kabla hajapigwa risasi 16 mwilini mwake na watu wanaoitwa wasiojulikana.

Lissu amelakiwa na wazee, wanawake, vijana, watoto na vikongwe huku wakitandika kanga na nguo ili mwanamapinduzi huyo anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais kuweza kupitia juu yake.

Tunaendelea kuwaletea kinachojiri. Endelea kutufuatilia.

Yaliyojiri baada ya Kuwasili Ikungi.

Hii ni historia.Hakika ndivyo tunavyoweza kusema.Kwa jinsi Lissu alivyolakiwa hapa wale waliotaka kumuua ni Kama Mungu ameshawapiga pigo Takatifu.

Mapokezi yake tumeelezwa na wazee hapa haijawahi kutokea tangia Uhuru wa Tanzania.

Watu Wazimia.

Wapo watu kadhaa ambao walizimia hususan baada ya kumuona.Wengine labda kwa sababu ya Furaha ya kumuona Tundu Lissu akitembea kwa miguu yake mwenyewe.Lakini wengine walizimia kutokana na umati mkubwa wa watu na kushindwa kuhimili.

Nyalandu aongoza mapokezi.

Kingine kilichovutia ni jinsi Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu alivyoongoza mapokezi ya Lissu.Nyalandu aliapa mbele ya umma wa watu wa Singida jinsi atakavyomuunga mkono Lissu mpaka ahakikishe ameapishwa kuwa Rais wa Tanzania.

Viongozi wa Dini na Kimila

Mara baada ya Kuwasili Lissu alifanyiwa maombi maalum na viongozi wote wa kidini na wale wazee wa Jadi.

Maombi hayo ni ya Kumlinda na kumkinga maadui zake hususan wale wabaya waliokula njama na kutaka kumuua.Kwamba wale wote walioshiriki ama kujua na kushindwa kuzuia waangamie kwa uovu wao.

Pia viongozi hao walimshukuru Mungu kwa jinsi alivyomkinga Lissu dhidi ya mkono wa Ibilisi.

Lissu Azungumza.

Akizungumza na halaiki hiyo ya watu Lissu aliwashukuru kwa mapokezi makubwa aliyopata kwenye Kijiji chake Cha Ikungi alikozaliwa.

Lissu amesisitiza kampeni bado hazijaanza na akasema kilichofanyika tu ni mapokezi ya kumlaki mtoto wao aliyeponywa na Mungu kwa makusudi maalum.

Lissu amewaeleza wanakijiji wenzake kwa kirefu jinsi alivyoshambuliwa na matibabu aliyopitia mpaka kupona kwake kwa miujiza.
Wameenda kushangaa mpigwa risasi!!!!!
 
Cyprian Musiba na le mutuz wanatembea na sumu ya kumwekea Tundu lisu kwa mnaokaa huko Dsm mkiwaona wazomeeni kwa nguvu waache ushetani wao
LeMutuz, kwa jinsi mama yake wa kambo na Dada yake walivyozalilishwa awamu hii na Yohana.... Bado tu ana mapenzi na CCM. Kweli akili ni nywele.
 

Kusema kweli Mh. Tundu Lissu unawabamiza mno watu fulani hadi wanashindwa kupumua, itabidi ulegeze kidogo spana!
 
Back
Top Bottom