Tundu Lissu apata mapokezi ya Kifalme Kijijini kwao Singida

Umeona mapokezi ya membe na Maalim seif huko Zanzibar?. Yale ndio mapokezi ya mgombea urais. Haya ya kwenu ni kikao cha familia.
 
Wamekuja kushuhudia muujiza siyo Chadema!
 
Hauwezi kuzipata.
 
Sasa Kama jimboni kwake watu waliojitokeza ni wachache kiasi hiki, halafu bado ana matumaini ya kushinda.

Yaani CDM kwa propaganda za uongo mko vizuri hayo ndiyo mapokezi ya kifalume aseee , waliopata mapokezi ya kifalume ni ACT kule Zanzibar.
 
Lowasa alishinda kamwachia Magu baada ya mazungumzo na wazee wa ccm,kwa Lisu musahau magu lazima aangukie pua
 
Tunaomba na clip ya hotuba yake tuongeze siku kwa aina ya faraja tunayopewa na huyu mfariji wetu.

Siyo yule anaongea utopolo tu na vibwagizo vyake ni vya kingono ngono tu.Hafai
 
Tupingane kwa hoja na si mitutu ya bunduki, kutekana na kutupwa kwenye viroba, matumizi ya nguvu za dola na kupigwa risasi mchana kweupe tena kwa kutumia silaha za kivita.
Musiba na Le Mutuz wamteka nani
 

Lowassa hakuja na nyomi cdm, bali alikuta nyomi cdm. Lisu kaitwa msaliti na hajafanya siasa kwa muda wa miaka mitatu, alitakiwa apokelewe na familia yake tu, maana Magufuli ndio amekuwa akifanya siasa peke yake, na kujenga madaraja, treni, bwawa la umeme nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…