Tundu Lissu apata passport mpya, amshukuru Rais Samia, kurudi Nchini

Mh.Rais wangu SSH ,kipenzi cha watanzania.....

Kila uchao anaendelea tu kutuwekea rekodi......

Rais SSH ni mbobezi wa siasa na diplomasia......

#Siempre SSH 🙏
#Siempre JMT🙏
Sema hana roho mbaya kama yako lakini
 
Mh.Rais wangu SSH ,kipenzi cha watanzania.....

Kila uchao anaendelea tu kutuwekea rekodi......

Rais SSH ni mbobezi wa siasa na diplomasia......

#Siempre SSH 🙏
#Siempre JMT🙏
🌹🌹❤️❤️❤️♥️♥️💯🌷🍾🍾🔥🔥💅
 
Kwenda kumsalimia sio sharti ya kuanza kuiga udikteta qa Magufuli.

Alhamdullilah Samia ameachana na udikiteta wa mwenda zake. Anawaumbua wafuasi wa siasa chafu nyie.

Hapo ulipo umefura kwa kinyongo.
 
Maana yake baadhi ya mapendekezo aliyotoa Lissu kwa Samia walipokutana Belgium yameanza kufanyiwa kazi.

- Mbowe kaachiwa bila masharti.

- Passport.

Then.

- Kuruhusu mikutano ya siasa bila kanuni mpya, sheria ipo ifuatwe.

- Katiba Mpya.
CCM hawataki kusikia hiyo....!!
 
Maana yake baadhi ya mapendekezo aliyotoa Lissu kwa Samia walipokutana Belgium yameanza kufanyiwa kazi.

- Mbowe kaachiwa bila masharti.

- Passport.

Then.

- Kuruhusu mikutano ya siasa bila kanuni mpya, sheria ipo ifuatwe.

- Katiba Mpya.
Ni kazi nzuri Mh Rais anafanya
 
Eti kuna watu wamechukizwa na hii taarifa. Jomba kama wewe ni mmojawapo jitafakari... Utakuwa una hulka za uchawi na uzandiki!!
 
Mataga watanuna. Walitegemea Samia angeendeleza kikosi cha polisi cha kumuua Lissu na Mbowe . Kilocho asisiwa na Muuaji Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…