Hazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
Kwani wameshamlipa?Ndg.Tundu Lissu hatomsahau mh.SSH maisha yake yote.....
Bila ya mh.rais SSH asingepata STAHIKI ZAKE ZOTE ZA UBUNGE ....
#Siempre SSH 🙏
Mliozoea kuishi Kwa kunywa Damu za watu tafuteni kinywaji kingine. Mnaweza hata kuchagua kunywa gongoNdg.Tundu Lissu hatomsahau mh.SSH maisha yake yote.....
Bila ya mh.rais SSH asingepata STAHIKI ZAKE ZOTE ZA UBUNGE ....
#Siempre SSH [emoji120]
Wengine huwa tunaamini Una akili timamu, usitufanye tufikiri kinyume chake.Aiseee upinzani kwishney
Na hapo ndo Ndugai atakapopandisha Sukari.Lisu atarejeshewa gharama za matibabu na kulipwa mafao yake ya ubunge!
Mtu asiyejua hii movie inaelekea wapi ni wa kuachana naye. Asubiri maazimio ya Kamati kuu March 16 ndo atajua hajui. Kumchinja Kobe kunahtaji timing na CHADEMA wanakwenda na beat Lao.Hahahaaaa......... Malengo ni tofauti bwashee!
Yaani Kila upande mama anapewa shukrani.Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.
Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.
Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Asante muda kwa kutuondolea yule mwendazakeNdg.Tundu Lissu hatomsahau mh.SSH maisha yake yote.....
Bila ya mh.rais SSH asingepata STAHIKI ZAKE ZOTE ZA UBUNGE ....
#Siempre SSH 🙏
BarikiwaHazimtoshi yule, usishangae akaja na kuanza kumtukana tena.
SSH alienda kumsalimia lisu alipokuwa anatibiwa nairobi, lakini baada ya kuapishwa kuwa rais, lisu huyo huyo ndiye alikuwa wa kwanza kumbambikia majina ya kijinga, mara Magufuli wa kike, mara dikteta mwanamke!
Jamaa ni chizi mr #dishlimetilt
Comment ya kipuuziAsante muda kwa kutuondolea yule mwendazake
Ninaiona Serikali ya umoja wa kitaifa 2025+..Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Amelipwa!?Bila ya mh.rais SSH asingepata STAHIKI ZAKE ZOTE ZA UBUNGE ....
Tundu Lissu amepewa passport mpya na Serikali ya Tanzania baada ya ile ya awali kupotea kwa kuibwa kule Ujerumani.
Lissu amekabidhiwa passport yake leo na balozi wetu.
Lissu amesema Rais Samia anafanya kazi kubwa na nzuri sana hivyo Watanzania wote tumuunge mkono ili tujenge Tanzania mpya yenye Upendo na Umoja.
Tundu Lissu amemshukuru sana Rais Samia.
Source: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Na pia amelipwa madai yake yoteMaana yake baadhi ya mapendekezo aliyotoa Lissu kwa Samia walipokutana Belgium yameanza kufanyiwa kazi.
- Mbowe kaachiwa bila masharti.
- Passport.
Then.
- Kuruhusu mikutano ya siasa bila kanuni mpya, sheria ipo ifuatwe.
- Katiba Mpya.
Thubutu! Ccm wako 100 kazi zipo20 kwanini wasitafute? Mnyukano upo kugombea hizo 20 ndiomaana kila mtu anaropoka lakeMkuu mi naona kama the opposite is true. Kuna mbinu nyingi sana za kumuua mmbu. Mama is very Krafty. Ila kwa muda Wangu mdogo hapa JF. Wenye kutafuta kazi unawajua ila sio CCM.