Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila siasa bhana [emoji23]
Uchaguzi dhidi ya JPM alikimbia nchi akisema anatishiwa maisha yake afu akarudi tena kwa ajili ya uchaguzi halafu akaondoka tena ety anatishiwa maisha yake.

Game is on [emoji41]
Na viongozi wako wa chama waliopiga magoti kuomba msamaha walisemaje baada ya JPM kufa? Na ile voice note iliyowaponza iliyovuja wakilalamika kutishiwa maisha walikuwa wanatishiwa maisha na nani? Lissu hana unafiki, hapigani vita za vichakani...kwake nyeupe nyeupe na nyeusi nyeusi.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Labda wewe, lakini nchi hii haina nafasi tena ya kuleta kichaa mwingine kama Magufuli kwenye uongozi wa Taifa letu.

Mungu katusadia kumtoa yule naamini alikusidia kuikoa nchi yetu isiharibike na kuwa kama Somalia

..Lissu wakati anagombea 2020 alisema hapendi kuwa Raisi mwenye mamlaka ya ki-mungu mtu kama ilivyo sasa hivi. Sasa unaposema anafanana na Magufuli naona kama umelenga kudharau jukwaa letu.
 
Wewe una uraia wa ubelgiji , watoto wako raia wa Marekani alafu unakuja kugombea urais Tanzania?

Alafu eti watanzania wakuchague?

Huenda risasi za Mbowe ziliacha uchizi kichwani mwake.
Kama umeumia sana nenda mahakamani,una usenge mwingi ni kama umejipa kazi ya kumtukana Mh. Lissu tena matusi ya nguoni na mods ni kama wamekupa kinga ya kufanya hivyo. Tumechoka kukuripoti kwani huchukuliwi hatua yoyote na hutaki kujirekebisha.
 
Wewe una uraia wa ubelgiji , watoto wako raia wa Marekani alafu unakuja kugombea urais Tanzania?

Alafu eti watanzania wakuchague?

Huenda risasi za Mbowe ziliacha uchizi kichwani mwake.

Wewe bwege aheri ungekuwa unakaa kimya tu, ingekusaidia kuficha upunguani wako.

Lisu ni raia wa Tanzania, tena ni Mtanganyika mwenye uchungu na Tanganyika.

Wewe bwege Etwege, kama huna uelewa au una uwezo mdogo wa kuyaelewa mambo usione shida kuuliza. Ufahamu kuanzia leo kuwa mt⁸u hawi raia wa nchi fulani kwa sababu tu amewahi kuishi au kufanya kazi nchi fulani. Ingia darasani ujifunze japo mambo basic kama haya.
 
1719684334547.jpg
 
Na viongozi wako wa chama waliopiga magoti kuomba msamaha walisemaje baada ya JPM kufa? Na ile voice note iliyowaponza iliyovuja wakilalamika kutishiwa maisha walikuwa wanatishiwa maisha na nani? Lissu hana unafiki, hapigani vita za vichakani...kwake nyeupe nyeupe na nyeusi nyeusi.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Kwahy alivorudi kwa ajili ya uchaguzi hakutishiwa maisha ila baada ya matokeo ndio akaanza kutishiwa maisha?
 
Mazingira ya kidunia, maandamano, GEN-Z , maisha magumu, anasa za viongozi watawala waliopo madarakani, mitandao n.k ni combination nzuri ya kukingoa chama dola kongwe madarakani.
 
Ila siasa bhana [emoji23]
Uchaguzi dhidi ya JPM alikimbia nchi akisema anatishiwa maisha yake afu akarudi tena kwa ajili ya uchaguzi halafu akaondoka tena ety anatishiwa maisha yake.

Game is on [emoji41]

Drama za kishamba sana
 
Wewe bwege aheri ungekuwa unakaa kimya tu, ingekusaidia kuficha upunguani wako.

Lisu ni raia wa Tanzania, tena ni Mtanganyika mwenye uchungu na Tanganyika.

Wewe bwege Etwege, kama huna uelewa au una uwezo mdogo wa kuyaelewa mambo usione shida kuuliza. Ufahamu kuanzia leo kuwa mt⁸u hawi raia wa nchi fulani kwa sababu tu amewahi kuishi au kufanya kazi nchi fulani. Ingia darasani ujifunze japo mambo basic kama haya.

Nyumbu mnaelewaga basi? Mwambie akapigiwe kura na mme wake Amsterdam huko ubelgiji
 
Kama umeumia sana nenda mahakamani,una usenge mwingi ni kama umejipa kazi ya kumtukana Mh. Lissu tena matusi ya nguoni na mods ni kama wamekupa kinga ya kufanya hivyo. Tumechoka kukuripoti kwani huchukuliwi hatua yoyote na hutaki kujirekebisha.

Lisu amezunguka dunia nzima akitukana Tanzania na watanzania matusi ya nguoni chizi yule
 
Na viongozi wako wa chama waliopiga magoti kuomba msamaha walisemaje baada ya JPM kufa? Na ile voice note iliyowaponza iliyovuja wakilalamika kutishiwa maisha walikuwa wanatishiwa maisha na nani? Lissu hana unafiki, hapigani vita za vichakani...kwake nyeupe nyeupe na nyeusi nyeusi.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Zile rushwa alizotangaza zimejaa chadema vipi?
 
Nyumbu mnaelewaga basi? Mwambie akapigiwe kura na mme wake Amsterdam huko ubelgiji
Wewe ni punguani, sijui unatafuta nini JF. Mlio na akili ndogo kabisa humu, mpo watatu tu.

Bila shaka IQ yako ni below average, ndiyo maana wakati huwa inaandika vioja kwenye hoja zinazoletwa na wenye akili timamu.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesema nia yake ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 iko palepale.

Tundu Lissu ameyasema hayo leo, Julai 26, 2024 katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam alipowasili akitokea nchini Ubelgiji.


Tundu Lissu amesema wakati anamkabili Hayati Magufuli alikuwa na umri wa miaka 52, mwaka kesho atakuwa na umri wa miaka 57 hivyo hawezi kuwa na nguvu zile zile za miaka 52 na kwa miaka 57. Lissu meongeza kuwa nguvu ya hoja, na msimamo wa kisiasa na uaminifu kwa watanzania bado uko palepale.

Huyu mama, kama tuliweza kumkabili Magufuli hajatoa matokeo ya urais mpaka leo, huyu aliyekuwa anaua watu, kama tuliweza kumkabilia miaka mitano iliyopita, huyu mama hatakuwa na shida kubwa kama Magufuli.

Pamoja na yote, hii mama mama mama hii ni ya watu waliohongwa na hii haina shida.

Nia yangu ya kugombea Urais iko palepale, nitaitikia wito wa watanzania, nitaitikia wito wa chama changu.
Wito upi tena ? Nani kamuita ? Me naona hawa wanajiita wenyewe afu wanasingizia tumewaita
 
Lisu amezunguka dunia nzima akitukana Tanzania na watanzania matusi ya nguoni chizi yule
Tundu siyo mtukanaji,taja hata tusi moja tu alilowahi kutukana. Wewe kila siku unaonyesha upumbavu wako humu kila post lazima umtukane Lissu na mods wanakulea tu.
 
CHADEMA hakuna demokrasia kabisa. Huyo Lissu ana uhakika gani chama chake kitampitisha? Au yeye ndo katiba ya chama?
Umekurupuka kucomment wakati maelezo yake yako wazi.Kasema ataitikia wito wa chama.au chawa hicho kiswahili kwako ni kigumu kuelewa?
 
Kama umeumia sana nenda mahakamani,una usenge mwingi ni kama umejipa kazi ya kumtukana Mh. Lissu tena matusi ya nguoni na mods ni kama wamekupa kinga ya kufanya hivyo. Tumechoka kukuripoti kwani huchukuliwi hatua yoyote na hutaki kujirekebisha.
Mods wa Jamiiforum wanashirikiana naye kuharibu taswira ya jukwaa ni kwavile tu hakuna jukwaa lingine.
 
Huyu kwa Urais HAPANA. Uwaziri Mkuu sawa kabisa. Watu ambao hawakubali mawazo ya wenzao na kujiona kila wakati wako sawa huwa wanaishia kuwa viongozi wabaya sana kama Magufuli
Ulifanya kazi na lissu wapi ukamwona yuko hivyo unavyomsema.leta na ushahidi kuthibitisha hoja yako.
 
Umekurupuka kucomment wakati maelezo yake yako wazi.Kasema ataitikia wito wa chama.au chawa hicho kiswahili kwako ni kigumu kuelewa?
Hawa ndiyo wanashindwa mitihani kwa kiherehere anaanza kujibu kabla hajaelewa swali.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu amesema Nape Nauye na January Makamba waliondolewa kwenye Uwaziri hivi karibuni hawana nguvu CCM na kwamba wanaishi kwa majina ya Baba zao.

Amesema hayo leo tarehe 26 Julai 2024 alipozungumza na Waandishi wa Habari baada ya kutua uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar-es-Salaam akitokea Nchini Ubelgiji

View:
 
Back
Top Bottom