Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu amesema Nape Nauye na January Makamba waliondolewa kwenye Uwaziri hivi karibuni hawana nguvu CCM na kwamba wanaishi kwa majina ya Baba zao.Amesema hayo leo tarehe 26 Julai 2024 alipozungumza na Waandishi wa Habari baada ya kutua uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar-es-Salaam akitokea Nchini Ubelgiji

View:

Mkuu umeniwahi kuleta hii taarifa nilikuwa naitazama muda huu
 
Hivi Makamba siyo Waziri tena? Tangu lini? Halafu kama nilisikia hivi kuwa Nape naye kaondolewa juzi kati hapa? Siasa zimenipita pembeni siku hizi...
 
Hivi Makamba siyo Waziri tena? Tangu lini? Halafu kama nilisikia hivi kuwa Nape naye kaondolewa juzi kati hapa? Siasa zimenipita pembeni siku hizi...
Ndio mkuu....vp enzi ukiwa unafuatilia siasa mambo yalikuwaj?
 
Sasa watumie jina la nani? La baba'ke Lissu?
Content ni kuwa hawana nguvu ndani ya ccm kisiasa hivyo wanamtumia majina ya wazazi kuchaguliwa na kuteuliwa na kupelekea kuiba rasilimali za nchi, usijitoe ufahamu we bibi
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu amesema Nape Nauye na January Makamba waliondolewa kwenye Uwaziri hivi karibuni hawana nguvu CCM na kwamba wanaishi kwa majina ya Baba zao.Amesema hayo leo tarehe 26 Julai 2024 alipozungumza na Waandishi wa Habari baada ya kutua uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar-es-Salaam akitokea Nchini Ubelgiji

View:

Mark Mwandosya ajitokeze kumpinga lisu kuhusu haya madai. These are sensitive and serious allegations. Should not be taken for granted.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu amesema Nape Nauye na January Makamba waliondolewa kwenye Uwaziri hivi karibuni hawana nguvu CCM na kwamba wanaishi kwa majina ya Baba zao.

Amesema hayo leo tarehe 26 Julai 2024 alipozungumza na Waandishi wa Habari baada ya kutua uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar-es-Salaam akitokea Nchini Ubelgiji

View:


..wengi walioko Ccm hawana uwezo wa kuisimamia wanabebwa na nguvu za DOLA.

..mtu kama Samia Suluhu angekuwa upinzani asingepata hata udiwani, lakini kwasababu yuko Ccm anasumbua watu kugombea Uraisi wa Tanganyika.
 
..wengi walioko Ccm hawana uwezo wa kuisimamia wanabebwa na nguvu za DOLA.

..mtu kama Samia Suluhu angekuwa upinzani asingepata hata udiwani, lakini kwasababu yuko Ccm anasumbua watu kugombea Uraisi wa Tanganyika.
Nadhan tatzo lipo kweny neno upinzan.........yatosha kukiita kwa hadhi yake CHADEMA kama ilvo kwa CCM
 
CHADEMA hakuna demokrasia kabisa. Huyo Lissu ana uhakika gani chama chake kitampitisha? Au yeye ndo katiba ya chama?
Hata ccm hakuna demokrasia kabisa. Samia amejitangaza kuwania uraisi 2025. Kabla ya mkutano mkuu kumpitisha au yeye ndo katiba ya chama??
 
Huyu kwa Urais HAPANA. Uwaziri Mkuu sawa kabisa. Watu ambao hawakubali mawazo ya wenzao na kujiona kila wakati wako sawa huwa wanaishia kuwa viongozi wabaya sana kama Magufuli
Toa mifano miwili tu ya Tundu Lissu "kutokubali mawazo ya wenzake..."

Hapa utakuwa unazo sababu zako binafsi tu, au pengine umekwisha ingizwa kwenye 'payroll' ya Bwana Abdul!
Tunajuwa pesa inatembea sana safari hii.
 
..Magufuli anapendwa sana nchi hii.

..kama Lissu anafanana na Magufuli, basi wafuasi wote wa Magufuli wampigie kura Lissu.
Kwako na kwa wengine wenye uelewa mpana wanajua kwa urahisi sana uliyo andika hapa; lakini siyo kwa kundi kubwa linalo swagwa kama kondoo tu ndani ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom