Mkumbushe maneno ya Marehemu Asha Bakari: "mwanangu jussa na mwanangu tundulissu wanacheza mchezo wasoujua". Zanzibar kutakuwa na majimbo mangapi? Wenzie hawataki kujua hayo mradi CHADEMA wajitawale kikabila.Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Naamini nguli wa maswali p utamuuliza maswali ya msingi kwa faida ya Taifa.Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Huu uzi wako unaukumbuka kabla Mods hawajabidi hicho kichwa cha habari!!??Hana tena jipya
Huu uzi wako unaukumbuka kabla Mods hawajabidi hicho kichwa cha habari!!??
Unakumbuka uliweka kuchwa gani cha habari!!??Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium. Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa...www.jamiiforums.com
Mwisho wa ubaya ni aibu,umeumbuka Kuna siku uliweka uhalo wako humu kuhusu lissu kuondoka nchini.Hana tena jipya
Kuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi. Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari? Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.No Sucker mkali sana, mimi nitamhoji kama Jonathan Man or Larry King
P
Kiukweli mifumo ya nchi hii ni ya hovyo na ni aibu kubwa sn
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Tuache nongo jamaa kipindi anakitendea haki sn na siyo uongoKuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi. Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari? Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.
Tundu Lissu amekosa mvuto sana, Alipoulizwa kwamba sasa amerudi au ataondoka tena wiki ijayo kwa vile anadai eti huitwa mara kwa mara na madaktari hakuwa na jibu lolote amekimbia swali na kubabaisha lakini suala la CAG kalirukia faster,
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Interview nzuri ilikuwa umpate mama mwenyewe ila sasa 🤣🤣Rukhsa kuita watu majina yoyote. Be happy, barikiwa.
P
Namkubali sana ALOYCE NYANDA huwa anamaswali magumu kujibika huyu 🤣🤣🤣 sio kama FARHIA MIDLEY ambaye huwa anakuwa na maswali laini lain🤣🤣🤣Tuache nongo jamaa kipindi anakitendea haki sn na siyo uongo
Kweli aseeNamkubali sana ALOYCE NYANDA huwa anamaswali magumu kujibika huyu 🤣🤣🤣 sio kama FARHIA MIDLEY ambaye huwa anakuwa na maswali laini lain🤣🤣🤣
Nilisikia AZAM MEDIA wamemchukua huyu jamaa sijui kweliKweli asee
No sina taarifa zakeNilisikia AZAM MEDIA wamemchukua huyu jamaa sijui kweli
Unatakaje?Huu uzi wako unaukumbuka kabla Mods hawajabidi hicho kichwa cha habari!!??
Unakumbuka uliweka kuchwa gani cha habari!!??Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium. Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa...www.jamiiforums.com
Pascal,utakuwa umefanya jambo jema sana kama kweli utahojiana na huyu Mwamba.Wenye Akili zao wote wanamkubali Lissu kama Big Brain for our Country.Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Nitakuunganisha naye wala usihofuAfadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P