Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!