Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Tundu Lissu asafiri kwenda Ubelgiji kuonana na Daktari na kuhuisha visa yake

Sera za makovu ya risasi vs sera za mbolea, miradi, elimu, afya na n.k kurudi lilikuwa jambo la muda tu

USSR
Mbona hamwishi kulitaja hilo jina,makovu yanakuhusu wewe nini,au yanakuhusu🤔
 
Hilo jibu kwamba ilikuwa haiwezekani kutembelea majimbo 2020 baada ya uchaguzi ndio unalitoa weye leo hapa JF, Tundu Lissu hakusema chochote hata huko kwenye Youtube, alichojua yeye madam ccm wametangaza kibabe ni kukusanya mabegi yake na passport yake kutimkia ubalozini na kurud ulaya., hakuwa na thanks yoyote kwa wananchi na ni wazi Tundu Lissu shida yake ilikuwa ni kuukwaa urais tu na hana sympathy hata kidogo na wananchi wa Tanzania.

Basigiye wa Uganda, Bobi Wine na Hata maalim seif wamepitia madhila ya kutishwa na kuuliwa mara elfu moja zaidi lakini waliamua kubaki katika Nchi na wananchi kupambana na watawala.

Ndio maana nasema Tundu Lissu ni vyema abaki kuwa Wakili wa kisheria anapokuja Tanzania kuliko kujifanya kiongozi wa upinzani, hafaiiii yaani hafaii.
-ni kweli mikutano ya kisiasa kufanyika 2020 ilikuwa haiwezekani, asingeweza kufanya mikutano kuwashukuru Wananchi Kwa sababu angekutana na mkono wa Chuma wa jeshi la police
-kuhusu Tundu Lissu kutokusema chochote huo ni Uongo, Kwa sababu Mara baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutangazwa Tundu Lissu, na Salim Mwalim Walifanya Mkutano na Waandishi wa Habari Ili kueleza kupinga na kutodhirishwa na matokeo ya huo uchaguzi, Mkutano ulifanyika makao makuu ya Chadema ilirushwa Live, na ipo You tube na kwenye huo mkutano Zitto Kabwe pia alikuwepo
-Tundu Lissu angekuwa Hana sympathy na wananchi angepinga tozo na Kodi zinazoleta ugumu wa Maisha?
  • Kuhusu besigye na wenzake, ngoja niuulize swali Dr Besigye alipigwa risasi 16 na askari wa museveni?, Pain and suffering aliyoipata Lissu ni kubwa Sana na hakuna mwanasiasa aliyewahi kuipata ndani ya 21 century within Eac hapa, nitajie Dr kiiza Besigye alipigwa risasi ngapi?
  • Usimpangie Kazi ya kufanya Lissu, uwakili atafanya na Siasa anafanya kama hutaki juu Yako.
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Washampa kibunda?
 
Wanao tutawala Changamoto Tupu
Tunao wategemea Ndio Mtihani Zaidi
Tanzania Bado Inasafari Ndefu sana
 
Hapana

Na alipohojiwa ITV alisema kabisa atakuwa akienda Ubelgiji kwa matibabu
Matinababu gani hayo ya week 2?Semeni ukweli Lissu kachemka amekwenda site kakuta hali sio jinsi jamiiforams wanavyomwongelea Magufuli ukafikiri na mtaani itakuwa hivyo,alivykwenda mtaani alivyotamka jina la Magufuli kila mtu akakaa amemtolea macho na kuinaimisha kichwa chini,alivyobadilika kidogo akasema garama za maisha magumu ndio watu kidogo wakaamsha mikono na kumshangili,. Lissu akajikuta amefeli mazima Maana agend yake ilikuwa ni kusagia kunguni Magufuli,na Sio maisha ya watanganyika, maana aliyewapa ruhusa ya mikutano amewapa na agenda ya kusema, alisema wazi'Ukiniparua nami nakuparua waziwazi ila ukinipuriza nami nakupuliza na kukupeea'; Hivyo gia ya Magufuli ilivyofeli kaamua kurudi kwao Ubeligiji.
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA,Tundu Antipas Lissu ameondoka nchini kuelekea Ubelgiji kucheck afya yake na kuhuisha VISA yake inayokaribia kwisha muda wake

Tundu Lissu atarejea nchini baada ya Wiki mbili

Source Jambo TV
Sasa kama mnajua mbona chawa wanaanza vineno neno🤔
 
Waswahili walisema mbio za Sakafuni huishia ukingoni. Hatimaye sasa rasmi imekuwa wazi hakuna marefu yasiyo na ncha.Hatimaye Lissu achemsha na Kurudi Belgium.

Alikuja kwa mikwara mingi sana, wenye akili tulihoji hao watu anaozungumzia wako wapi? Na tukasema "muda utasema". Hatimaye sasa kachemsha mwenyewe. Hata kuondoka kwake hakuna viongozi wa chama walioenda kumsindikiza.

Pole sana Lissu, wakati mwingine utajifunza.

=====

View attachment 2519055
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesafiri kwenda Ubelgiji kwa ajili ya kuonana na Daktari wake kwa vipimo vya kawaida pamoja na kuhuisha visa yake inayomaliza muda wake. Lissu anatarajia kurejea nchini ndani ya wiki mbili kuendelea na majukumu yake hapa.
Imani kwamba ukiwa CCM unaoabidhi akili unabaki kopo tupu inadhihirishwa na wewe na wajinga wenzio wanaokisapoti.
 
Sjawahi na stowahi kumkubali huyu shujaa wa Chadema

Ni mtu mmoja wa hovyohovyo tu! Anamaneno ya shombo fulani hivi na kujiona yeye ndo msomi maarufu na mjuzi wa sheria kuliko wasomi wote nchini!
 
Kasharopoka kamaliza kaona hamna dili arudi huko.
Tulisema hapa huyo huko Ubelgiji alipo ni mkimbizi wa kawaida tu km wengine wamejazana huko toka Congo,Rwanda na West Africa.
Sasa km angekua special si angerenew tu visa hapo ubalozi bongo.
Kuonana na daktari kwa check up sio issue ya lazima sana kaja juzi tu angeweza kufanya kabla.
Manyumbu yashapigwa za uso tena😅😅😅
 
Back
Top Bottom