Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Ingependeza kama wewe ungeweka vipengele vinavyozuia Tume ya Uchaguzi kutomfungia Lisu kufanya kampeni kwa Siku saba
Yaani utoe we malalamiko afu mzigo wa kuthibitisha unipe mimi?
 
Hapo ndio anaingia kwenye kumi na nane,akiendelea na kampeni wanamtoa kabisa, jeuri haina faida yeyote tena unae mfanyia jeuri ndio ana ubavu zaidi yako. Hivi jina likikatwa kwenye list ya wagombea atafanya nini?
Wewe naye bwa tu kwani sisi tunaishi mbinguni situko wote mitaani muengueni muone tutamalizana uku uku.
 
Tukisema hii ni akili kubwa, makada wa CCM wenye vichwa vigumu kwa kushupaza shingo zao hawatuelewi.
 
Ameambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
akate rufaa kwa hukumu ipi? hukumu gani isiyo na mshtaki na mshtakiwa?
 
Kaka faida kubwa dunia ya watu wenye upeo mkubwa uwa hawaogopi. Haki huwa inapiganiwa haijileti (justice doesnt come on silver plate) hupiganiwa. Nyerere alikuwa aggrisive kuliko LISSU tena katika mateso makubwa kutoka Pugu secondari kwa miguu mpk magomeni kukutana na akina Paul Rupia. Kwenye vitabu vyake anasema kuanzia Pugu mpk magomeni mwaka 1956 kulikuwa ni pori mpk simba, na ilimbidi apite usiku ili utawala wa kikoloni usimuone. Wew mleta post kwa mguu magomeni mpk pugu hauwez nenda na ni lami tupu. Lissu anapita kwenye UVULI wa mauti, ila kuna cku apata anachopigania. Anatuangaikia sie tusiokuwa na sauti wala ujasiri wa kumkabili Magufuli. Lissu ni mwanaume, sio kazi ndogo kumlegeza mzee baba ambaye aliifanya nchi kama shamba lake. Kajaza nafasi za hela ndugu zake. Wala hata aibu hana.
 
Jahahahhaahaa umeandika kwa mbali ka vile huna akili ila ukisogeleea nikweli huna akili.


Unadhan lissu kwa aloyapitia, kuna kitu kitakachomuondoa kwenye mstari wa kile anavhokisimamia???
 
Wewe naye bwa tu kwani sisi tunaishi mbinguni situko wote mitaani muengueni muone tutamalizana uku uku.
Hii mikwara yenu mbuzi pelekeni kwa beberu wenu Amsterdam, kinukisheni sasa si kasimamishwa siku 7?kinukisheni sasa
 
Mpira ni Dk 90 lakini NEC wanataka kumaliza mechi dk ya 30 Hatutakubali kamwe.
 
Lisu sio kondoo kama watanzania wengi walivyo.
Hili taifa wote tunalielewa..... Tunajua matokeo ya kutokutii sauti za mamlaka.
Swali ni nani anamlinda Lisu? Kwann mamlaka zinapata shida kumdhibiti?
 
Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?

Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…