Hili nfilo jibu, mjadala umefungwaSio anadhani! Lisu anazijua sheria kuliko binadamu yeyote ndani ya Tanzania hii na Afrika kwa ujumla.
Majaji na wanasheria wengine wa serikali wanazijua kiasi ila ndio hivyo ukiwa ndani ya ccm au ndani ya serikali ya awamu ya tano, hupaswi kutumia taaluma yako bali unafanya kazi kwa maelekeo ya Dictator.
Hata Feleshl naye ni Jaji pia. Uwe na akili mukichwa Bwashe.Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Sisi tuendelee kujua tu Majaji na mahakimu wa Seikali ninweupe. Wakishapata mishahara tu hata kujiboresha kuwa wanasheria bora wanaweka pembeni.Sio anadhani! Lisu anazijua sheria kuliko binadamu yeyote ndani ya Tanzania hii na Afrika kwa ujumla.
Majaji na wanasheria wengine wa serikali wanazijua kiasi ila ndio hivyo ukiwa ndani ya ccm au ndani ya serikali ya awamu ya tano, hupaswi kutumia taaluma yako bali unafanya kazi kwa maelekeo ya Dictator.
Ndo ivyo alianza kutetea wanyonge tangia anasoma vidudu.Hehehe Lissu kama Yeremia. Kabla hajatungwa Mungu alimjua.
Unamjua Lissu au unamsikia??? Lissu ni nguli wa sheria sio kujua tu!Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Basi yeye ndio hana akili asilaumiwe ccmHautumii akili mkuu!Sasa kama jaji Kaijage anaendeshwa na CCM unategemea kuwa atafanya maamuzi kwa kutumia taaluma yake?!
Kaijage anaijua sheria ila amefungwa akili kila kitu anakiona katika lensi ya ccm. Inabidi apindishe sheria ili magufuli aponeMimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Hivi unajua hata Camilius Wambura, yule aliyeandika barua ya Jana ya wito wa Polisi Kanda maalum Dsm ni Mwanasheria? Lakini umeona manyanga aliyoyafanya? Siyo kama hajui, anajua ila kuna msukumo unaomfanya ajifanye hajui siku ziende.Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Lissu ni debe tupu
Kujaribu ni bure! Wajaribu!Consequence zakuendelea kufanya kampeni zinaweza ku justify hatua ingine kubwa zaidi na ya kuumiza.Naamini NEC wakimkata kuendelea na uchaguzi hakuna kitakachotokea (kama ilivyotokea kwa JECHA).Atumie busara na ajenge hoja!!
Mtajua hamjui mwaka huuLissu mtoto sana kwenye siasa
Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!