Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Kama ndivyo bado hawawezi kuitwa wabobevu. Mtu gani amebobea hawezi kutumia ubobevu wake wa kuongoza maisha yake hadi atumike na washenzi ndio mkono uende kinywani??

Je wale tulioishia form four failure si ndio tutasuguliwa ili tuishi?
Mkuu wewe umemaliza.
Hakuna mtu anayejua kitu fulani kibobevu halafu akashindwa kutumia ubobevu huo kuishi. Huyo ni kilaza.
STK .... imebeba bosi ndani anawahi ofisini,inapita kwenye lane ya mabasi ya UDART then unaona dereva ni mjanja na mbobevu. Huyo ni kilaza tu.
 
Hii lafu aliyofanyiwa LISSU itampaisha sana Lissu kuliko maelezo aisee hata kama kuna mtu alikuwa na nia ya kuchagua Miundo Mbinu dhidi ya Lissu basi atajikuta anamkubari LISSU VIBAYA MNO
 
...................Itakuwa heri mara mia wewe kurudi tumboni mwa mama yako ili akajifungue upya punguani kama wewe kuliko mtu yeyote ajifanye anamtikisa Lissu japo amlegeze chuma unachohisi kipo mwilini mwake.


Na nikufahamishe tu baada ya uchaguzi huu iwe atashinda au hakushinda hakuna atakaemwambia asifanye siasa eti kwa sababu uchaguzi umeisha mpaka kampen za 2025 i swear atakula na Magufuli sahani moja huo mchaka mchaka wake magu atajutia kilichomfanya amtishe Mahera apindishe matokeo.

Kwa maneno mengine atatamani angekuwa Chato akishuhudia Lissu akiongoza nchi,jamaa alipofikia hayupo tena wa kumtisha even kifo tofauti na wewe unaogopa njaa unaona akipita hiyo kazi yako ya udereva wa halmashauri utaikosa.
Acha uzwazwa wewe,! Hivi vitisho vyenu pelekeni kwa beberu Amsterdam,

Lisu akifanya ujinga atafinyangwa kwa mujibu wa sheria za nchi hataogopwa yeye siyo mkubwa kuliko tz!

Usifikiri Lisu ana wafuasi yeye pekeake hata wenzie wana wafuasi. Mwambie afanye mambo yake kwa kiasi la sivyo atarudi kwa beberu wake amsterda akiwa analia
 
Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.

Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?

Maendeleo hayana vyama!
Jaji Kaijage kitu gani bana, kuwa Jaji ni kupanda cheo kwenye career ya Uhakimu tu. Hata Peofesa Ibrahim Juma CJ bado kwa Tundu Lissu ni cha mtoto tu
 
Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.

Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?

Maendeleo hayana vyama!
Sasa huku ni kumchongekea Jaji wetu kwa wananchi.

Haya mambo mengine ni ya kuguna tu kwa kutumia pua.
 
Acha uzwazwa wewe,! Hivi vitisho vyenu pelekeni kwa beberu Amsterdam,

Lisu akifanya ujinga atafinyangwa kwa mujibu wa sheria za nchi hataogopwa yeye siyo mkubwa kuliko tz!

Usifikiri Lisu ana wafuasi yeye pekeake hata wenzie wana wafuasi. Mwambie afanye mambo yake kwa kiasi la sivyo atarudi kwa beberu wake amsterda akiwa analia

Zimeshindwa risasi 16, yataweza mabomu ya machozi?

Mtu kalala ICU wiki nzima unamtishia sero?

Lissu ni namba nyingine ile!

Njia pekee ya kumshinda Lissu ni kuwa na akili na unfortunately sioni mwenye akili kumzidi Lissu kwenye kamati kuu nzima ya CCM
 
Acha uzwazwa wewe,! Hivi vitisho vyenu pelekeni kwa beberu Amsterdam,

Lisu akifanya ujinga atafinyangwa kwa mujibu wa sheria za nchi hataogopwa yeye siyo mkubwa kuliko tz!

Usifikiri Lisu ana wafuasi yeye pekeake hata wenzie wana wafuasi. Mwambie afanye mambo yake kwa kiasi la sivyo atarudi kwa beberu wake amsterda akiwa analia
Mnaweweseka sana, poleni
 
Lisu anachangamsha genge tuu yeye mwenyewe ataipigia jura CCM, kwasasa hakuna mgombea bora kama JPM.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
1601659400_1601659400-picsay.jpg
1601659376_1601659375-picsay.jpg
 
Wapiga kura wa lissu
 
😁😁😁😁😁 ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali

Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia

naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular

hapa lisu amekurupuka!!
Kinachosuburiwa na wapinzani ndio hicho,wa kuanzisha fujo ili moto uwake!.
 
Kwa hapa mabeberu wamepata mtu konki, wanachotaka kupitia kwa Lissu kinaweza kutimia this time around. Kwa ujasiri huu huyu katumwa.

The confusing part is, mbona Mbowe yupo kimya sana, mbona haongei wala kujibu chochote?
 
Na wewe uende barabarani ukaenjoy huo mtanange
Acha kusema hivyo watu anaowadhania siyo,wanaweza fanya kitu mpaka we mwenyewe ukashangaa.mwanzilishi ndio huwa ngumu kapatikana Ila Sasa amepatikana
 
SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa
Atamkuta nani? lazima waufunge office wakajifiche, sebene linaendelea jumapili
 
Back
Top Bottom