residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mkuu wewe umemaliza.Kama ndivyo bado hawawezi kuitwa wabobevu. Mtu gani amebobea hawezi kutumia ubobevu wake wa kuongoza maisha yake hadi atumike na washenzi ndio mkono uende kinywani??
Je wale tulioishia form four failure si ndio tutasuguliwa ili tuishi?
Labda utajifungia bafuni weweMkiambiwa muandamane mnajifungia bafuni
Acha uzwazwa wewe,! Hivi vitisho vyenu pelekeni kwa beberu Amsterdam,...................Itakuwa heri mara mia wewe kurudi tumboni mwa mama yako ili akajifungue upya punguani kama wewe kuliko mtu yeyote ajifanye anamtikisa Lissu japo amlegeze chuma unachohisi kipo mwilini mwake.
Na nikufahamishe tu baada ya uchaguzi huu iwe atashinda au hakushinda hakuna atakaemwambia asifanye siasa eti kwa sababu uchaguzi umeisha mpaka kampen za 2025 i swear atakula na Magufuli sahani moja huo mchaka mchaka wake magu atajutia kilichomfanya amtishe Mahera apindishe matokeo.
Kwa maneno mengine atatamani angekuwa Chato akishuhudia Lissu akiongoza nchi,jamaa alipofikia hayupo tena wa kumtisha even kifo tofauti na wewe unaogopa njaa unaona akipita hiyo kazi yako ya udereva wa halmashauri utaikosa.
Vipi mmeshakinukisha?Hahahahahaha..
Sitareta maji tunduma msiponiretea Siriinde..
Kaa kichaa vile.
Jaji Kaijage kitu gani bana, kuwa Jaji ni kupanda cheo kwenye career ya Uhakimu tu. Hata Peofesa Ibrahim Juma CJ bado kwa Tundu Lissu ni cha mtoto tuMimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Sasa huku ni kumchongekea Jaji wetu kwa wananchi.Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Acha uzwazwa wewe,! Hivi vitisho vyenu pelekeni kwa beberu Amsterdam,
Lisu akifanya ujinga atafinyangwa kwa mujibu wa sheria za nchi hataogopwa yeye siyo mkubwa kuliko tz!
Usifikiri Lisu ana wafuasi yeye pekeake hata wenzie wana wafuasi. Mwambie afanye mambo yake kwa kiasi la sivyo atarudi kwa beberu wake amsterda akiwa analia
Kuuliza siyo ujinga meku!Hautumii akili mkuu!Sasa kama jaji Kaijage anaendeshwa na CCM unategemea kuwa atafanya maamuzi kwa kutumia taaluma yake?!
Mnaweweseka sana, poleniAcha uzwazwa wewe,! Hivi vitisho vyenu pelekeni kwa beberu Amsterdam,
Lisu akifanya ujinga atafinyangwa kwa mujibu wa sheria za nchi hataogopwa yeye siyo mkubwa kuliko tz!
Usifikiri Lisu ana wafuasi yeye pekeake hata wenzie wana wafuasi. Mwambie afanye mambo yake kwa kiasi la sivyo atarudi kwa beberu wake amsterda akiwa analia
Kinachosuburiwa na wapinzani ndio hicho,wa kuanzisha fujo ili moto uwake!.πππππ ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali
Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia
naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular
hapa lisu amekurupuka!!
Acha kusema hivyo watu anaowadhania siyo,wanaweza fanya kitu mpaka we mwenyewe ukashangaa.mwanzilishi ndio huwa ngumu kapatikana Ila Sasa amepatikanaNa wewe uende barabarani ukaenjoy huo mtanange
Atamkuta nani? lazima waufunge office wakajifiche, sebene linaendelea jumapiliSSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa
Wao ni kwa maslahi makubwa ya matumbo yao, pamoja na mabeberu wao.Suluhu ipatikane kwa maslahi mapana ya nchi yetu