Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Ameambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Huu ni uonevu hakuna kukata rufaa Lisu Enedelea na Kampeni. Aitwe na huyuo mgombea wa CCM akatae kauli zake za kutowahuduymia wapiga kura wasiomchagua.
 
Consequence zakuendelea kufanya kampeni zinaweza ku justify hatua ingine kubwa zaidi na ya kuumiza.Naamini NEC wakimkata kuendelea na uchaguzi hakuna kitakachotokea (kama ilivyotokea kwa JECHA).Atumie busara na ajenge hoja!!
Jidanganyeni tu na mifano irrelevant ya akina Jecha. Kwanini unadhani hawakumkata mwanzo kabisa asigombee na hapo ndio ngoma ingeisha kirahisi.
 
Kufuatia mgombea Urais kupitia Chadema Mhe.Tundu Lissu kufungiwa kufanya kampeni kwa siku 7 kuanzia leo hadi tar.9 Oktoba, atatumia nafasi yake kama Makamu Mwenyekiti wa Chadema kufanya ziara ya siku 7 (kuanzia kesho) kuwanadi wagombea ubunge wa majimbo mbalimbali nchini. Sheria ya vyama vya siasa no.5 ya mwaka 1992 inatoa ruhusa kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa kuzunguka majimbo yote kuwanadi wagombea ubunge na udiwani. Hivyo kwa kutumia sheria hiyo Lissu ataanza ziara rasmi kesho kuwanadi wagombea ubunge na udiwani, kisha tar.10 ataendelea na ratiba yake kama mgombea urais.! #Mwamba #AkiliKubwa #NiYeYe
tunasema ametumia 'loop hole'
 
SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa
Hana huo muda yy anafocus kwenye kampeni zake.....ila mkimuingilia anawakumbusha double standard.....zenu...u got that aaa
 
Anachokitafuta na Amsterdam wake wanakaribia kukipata. Niliwahi kusema Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila Elimu ya Dunia ni ZERO. No wonder anatembea kwa kuchechemea kwa kutofunzwa na ***** na kufunzwa na ulimwengu. Sasa acha ulimwengu uendelee kumfundisha zaidi.

are you OK? huoni bias ya NEC hapo kwa mgombea wenu wa CCM anavyotishia wapiga kura kuwa ikiwa hawatomchagua hatowpakea maendeleo? Call a spade, a spade. ushabiki uweke pembeni. NEC lazima ioneshe uadilifu.
 
SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa

Mbona kasema wameshapeleka malalamiko matatu lakin hakuna lililoshughulikiwa tume imeyatupabkwenye dustbin
 
Kama Lisu akishindwa kutii sheria bila shuruti atasaidiwa kukaa mahabusu kwa siku saba siku ya nane wataendelea na campaign. Dawa ya kibri ni kuwa na kibri zaidi yake.

Sawa mama samia.
 
Kama haiamini tume kwanini ashiriki uchaguzi? Si angeacha? Hiyo ingeleta maana kuwa kuna matatizo kwenye tume. Ni sawa na muumini anayemuomba Mungu bila kujua kuwa Mungu anaweza kufanya hicho anachokiomba. Wote wanaomuomba Mungu wanatumaini kuwa yupo na anaouwezo.

Kubahatisha hakufai
Àngeacha ingekuwa ni hisia na majungu tu. Lakini sasa analianika litume lenu wazi. Nalo linajikoki koki hata hawajui wanategwa. Ngoja kesho mashirikiano na vyama vingine utangazwe rasmi uone moto wake.....
 
Hii ndiyo namna ya ku- deal ni na madikteta yasiyo na busara kama Meko. Kwa kila wanaloamua lazima kuwe na action.

Yaani NEC haijui hata kula na kipofu?? Wameona mgombea wao hana afya ya kupuyanga continuously kutokana na kiberiti kifuani ndiyo wakaamua kutafuta kijisababu cha kumpumzisha Lissu naye.

Kweli alichopanga Mungu binadamu hawezi kukizuia. Naamini kabisa Rais wetu kuanzia 29/10 ni Tundu Lissu. NEC wakikaidi na kumtangaza Meko kwa lazima, MUNGU aweza kuamua kuzima kiberiti cha Meko for good
kinachosababisha mgombea wetu profesa magu apumzike kila baada ya hatua mbili ni nini ?
 
Back
Top Bottom