kibwengomfupi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 675
- 676
Peleka kwanza kwa mama yako na babayo. Pumbavu wahidHii mikwara yenu mbuzi pelekeni kwa beberu wenu Amsterdam, kinukisheni sasa si kasimamishwa siku 7?kinukisheni sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka kwanza kwa mama yako na babayo. Pumbavu wahidHii mikwara yenu mbuzi pelekeni kwa beberu wenu Amsterdam, kinukisheni sasa si kasimamishwa siku 7?kinukisheni sasa
Hili taifa wote tunalielewa..... Tunajua matokeo ya kutokutii sauti za mamlaka.
Swali ni nani anamlinda Lisu? Kwann mamlaka zinapata shida kumdhibiti?
Alichokizungumza umeelewa au lah,??Chama siyo yeye. Tatizo anachukulia yeye ni zaidi ya chama kwasababu mabeberu wanamjua yeye. Anataka afanye fujo ili mabwana zake wazungu waone.
Sijaongelea kuwa au kutokuwa muhalifu. Sijaongelea kupata haki au kukosa haki. Nimeuliza anapata wapi ulinzi regardless ya anachotaka kufanyiwa na mamlaka kuwa ni haki au si haki. Nani anamlinda Tundulisu?Wamdhibiti kwani ni mhalifu?
Sijaongelea kuwa au kutokuwa muhalifu. Sijaongelea kupata haki au kukosa haki. Nimeuliza anapata wapi ulinzi regardless ya anachotaka kufanyiwa na mamlaka kuwa ni haki au si haki. Nani anamlinda Tundulisu?
Think again.Mungu
Think again.
Sijaongelea kuwa au kutokuwa muhalifu. Sijaongelea kupata haki au kukosa haki. Nimeuliza anapata wapi ulinzi regardless ya anachotaka kufanyiwa na mamlaka kuwa ni haki au si haki. Nani anamlinda Tundulisu?
Nikweli kapo kama kakiweweHuyu ayo tv anafata nn wkt ni kaoga hata kurusha habar za lissu
Mungu ts a terminology for all being. Twende na political reasons not believes.How?
Punguza mahaba ya uccm,Soma maelezo yake,Kama unatafakari kwa kina usingeandika hayo uliyoandikaKama Lisu akishindwa kutii sheria bila shuruti atasaidiwa kukaa mahabusu kwa siku saba siku ya nane wataendelea na campaign. Dawa ya kibri ni kuwa na kibri zaidi yake.
SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa
Barua✅Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?
Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
Hakuna any other reasons apart from that?Analindwa na Mungu, rejea shambulio la risasi.
Hakuna any other reasons apart from that?
We una mwamini Mungu tuanzie hapo kwanza?Mungu ts a terminology for all being. Twende na political reasons not believes.
Hana muda wa kijinga Kama huo, juma2 anaendelea na kambeni kawa kawaidaAmeambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!