Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Chama siyo yeye. Tatizo anachukulia yeye ni zaidi ya chama kwasababu mabeberu wanamjua yeye. Anataka afanye fujo ili mabwana zake wazungu waone.
Alichokizungumza umeelewa au lah,??

Kawasaidia kutafasiri sheria na kanuni


Kosa ni lanani???


Mi nadhan kila mwanaccm ukiwemo nawewe,huwa unataman kupewa akili kubwa kama ya Lissu.
 
Wamdhibiti kwani ni mhalifu?
Sijaongelea kuwa au kutokuwa muhalifu. Sijaongelea kupata haki au kukosa haki. Nimeuliza anapata wapi ulinzi regardless ya anachotaka kufanyiwa na mamlaka kuwa ni haki au si haki. Nani anamlinda Tundulisu?
 
Mungu
Sijaongelea kuwa au kutokuwa muhalifu. Sijaongelea kupata haki au kukosa haki. Nimeuliza anapata wapi ulinzi regardless ya anachotaka kufanyiwa na mamlaka kuwa ni haki au si haki. Nani anamlinda Tundulisu?
 
Sijaongelea kuwa au kutokuwa muhalifu. Sijaongelea kupata haki au kukosa haki. Nimeuliza anapata wapi ulinzi regardless ya anachotaka kufanyiwa na mamlaka kuwa ni haki au si haki. Nani anamlinda Tundulisu?

Analindwa na Mungu, rejea shambulio la risasi.
 
Aendelee na kampeni!! Hawa vinyago wa tume wanaotumwa na maccm mwisho wako hauko mbali.
 
Kama Lisu akishindwa kutii sheria bila shuruti atasaidiwa kukaa mahabusu kwa siku saba siku ya nane wataendelea na campaign. Dawa ya kibri ni kuwa na kibri zaidi yake.
Punguza mahaba ya uccm,Soma maelezo yake,Kama unatafakari kwa kina usingeandika hayo uliyoandika
 
SSA Lissu mbona anakuwa mzembe.akapeleke malalamiko NEC kuhusu JPM na majaliwa kuvunja hizo kanuni. Kama aliyofanya kwenye pingamizi .
Napenda afanye hivyo jumatatu. Asilalamike anakoswa Sifa ya kuwa rais saasa

..amesema wamepeleka malamiko kwa tume ya uchaguzi na kwa msajili wa vyama vya siasa.
 
Lisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?

Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
Barua✅
Balua❎
 
Ameambiwa ana nafsi ya kkukata rufaa,sasa hayo ya kuendelea na kampeni ni kutafuta shida nyingine!!Tunajua ameshapata momentum lakini ni lazima amkumbuke Mungu,Kila jambo lina sababu!!
Hana muda wa kijinga Kama huo, juma2 anaendelea na kambeni kawa kawaida
 
Back
Top Bottom