Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema pingamizi ya kufanya kampeni kabla ya wakati ni kelele za kupuuzwa, awananga wahariri wa Vyombo vya Habari

Tusubiri tuone, unaongea as if wewe ndiwe decision executor
Hunijui sikujui don't dare to call me kikaragosi. Alafu wanaopenda maneno kama haya huwa wanamsongo wa mawazo kutokana na kupigwa na maisha mpaka kujubali kuramba viatu kwa buku 7.
Sio mwanachama wa chama chochote ila nasema hivi kutokana na upepo ninaouona wa upinzani na hali halisi nchini
 
Mkuu huo ndio uhuru wa vyombo vya habari uliomezwa,kama yeye kasema,wao watangaze tu na serikali nayo itafute platform ikanushe...Ndio ustarabu wa dunia.Ila sababu TCRA imekuwa kama kitengo cha CCM kweli wengi wataogopa.Mbona nchi ilikuwa upande mmoja tu,miaka 5 yote JPM kazunguka nchi nzima akiwananga wapinzani na kujipa sifa,hizi siku 21 za Lissu ndio zinawatetemesha hivi?Something is wrong somewhere
 
Issue ni balanced story mfano anauhakika gani ulikuwa ni mkakati wa CCM Arusha kuchoma ofisi za CDM.

Walau angesema anadhani ni wafuasi wa CCM sio kushutumu chama kizima kwa uhakika. Kwakuwa vyombo vya habari vimerusha kama Lissu alivyosema na jamii inaweza amini kilichotamkwa ndio ukweli wenyewe upande wa pili lazima upewe nafasi kwa mujibu wa kanuni.

Anadai polisi awato peleleza unajiuliza wamepeleka majina ya suspects au anataka viongozi wa juu wa CCM Arusha waitwe kutoa maelezo bila ya ushahidi kama walikuwa wanajua huo mkakati.

Tuache kutetea kila kitu ifike hatua tuone kushutumu watu bila ya ushahidi ni tatizo tofauti na ilivyozoeleka ndani ya Tanzania. Mtu anaweza jitungia uongo tu na kupotosha jamii nzima na wengi wetu tusione ilo swala ni tatizo.
 
Ok
 
Hakuna wa kumzuia Lissu Huu mwaka tumepata Mgombea sio yale makapi ya ccm
 
Lissu hawezi kuzungumza bila kuongelea risasi zake​
Hawezi kwenda ikulu kwa kuwaeti alipugwa risasi 100 hakufa​
We wewe ungepigwa risasi moja tu,Tena ya Bastola saa hizi ungeshakua skeleton tu huko kaburini.
Mwache aongelee risasi bana.
 
Mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu alisema kwamba kama Tume ya Uchaguzi ikishirikiana na vyombo vya dola kupika matokeo au kuhujumu zoezi la uchaguzi usiwe wa haki wala huru, basi akasema tutaingiza watu barabarani. Akasisitiza kwamba CDM wanataka uchaguzi huru na wa haki.

Baadaye nikamsikia msemaji wa CCM ndugu Simon Sirro akisema “wamesema wataingiza watu barabarani” Sirro ilifanya kitu tunaita cherry picking of words. Aliacha maneno Uchaguzi huru na uchaguzi wa haki.

Natambua kwamba Simon Sirro ni IGP, lakini wanasema

“if it looks like a duck, swims like a duck, and quacks like a duck, then it probably is a duck”
 
Hivi Sirro atastaafu lini? maana naona age yake haina tofauti na ya JK
 
Hivi Sirro atastaafu lini? maana naona age yake haina tofauti na ya JK
Siro alishafikisha umri wa kustaafu tokea mwaka 2016 lakini mtukufu kaamua kwenda nae kienyeji tu mpaka siku akiona kazeeka sana ndipo atamruhusu kwenda kulea wajukuu wake
 
.....a duck all day long!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…