IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Hivyo wala siyo vigezo bali ni kutegeana kwa kumuogopa, woga ni kitu kibaya sana..Vigezo na masharti kuzingatiwa, kama hatimizi atakatwa, wote tunapitia hayo kwenye maisha yetu, tusipotimiza vigezo vilivyowekwa aidha kwa kujua au kutokujua tunakatwa, ...