Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema pingamizi ya kufanya kampeni kabla ya wakati ni kelele za kupuuzwa, awananga wahariri wa Vyombo vya Habari

Leo maajabu, nimeiona maiki ya TBC pale, sijui waliirusha live au watairusha baadae hiki kipindi?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nami nimeiona ingawa inaelekea ilichelewa kuingia
 
"SISI ni watu wa AMANI, SISI ni watu wa AMANI. Hatutapiga mtu, hatutaibia mtu, hatutamfanyia mtu vurugu. Hatutakubali KUPIGWA. Hatutakubali kufanyiwa VURUGU. Hatutakubali KUIBIWA. Hatutakubali KUONEWA. Tunataka UCHAGUZI HURU na wa HAKI. Tutakubali, tutakubali tukishindwa kwa HAKI".

Haya ni maneno mazito sana; na yaliyojaa busara hekima na ujasiri aliyoyasema Lissu akiwa katika ziara ya kutafuta wadhamini huko Tunduma, Watanzania tuzingatie haya, tusijesema hatukuambiwa.

Sent from my H8216 using JamiiForums mobile app
 
IGP na mkurugenzi wa NEC jaji kaijage wapo kwenye uchunguzi mkubwa wa siri na vyombo vya uchunguzi vya kimataifa zikiwemo taasisi za haki za binadamu na mahakama ya uhalifu The Hague
 
Wamezingua sana kwenye maswali wa kazima kabisaa
 
Lipumba na shibuda wamechukua pesa toka CCM juzi kwa ajili ya kwenda kumwekea pingamizi Tundu lisu ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi

Kama ni hivi na wagombea wote mapingamizi na hasa huyu mzee ambaye anakesha akiwachulia CDM.

Kama vipi tukashindanie na mapingamizi pia.
 
Lissu ameendelea kusema watu hawakwenda kumshangaa mtu aliepigwa risasi 16
Ashikilie hapahapa!!! Mimi mwenyewe nilienda kushangaa hikihiki anachobisha, na Kura yangu haipati, Maana Kwa picha ni Lisu lakini ndani yake sivyo tumwonavyo
 
Akiacha kutumia lugha za matusi mbele ya cyombo cya habari watamrusha tu hewani tena MUBASHARA 🧐🧐🧐
 
Lissu hawezi kuzungumza bila kuongelea risasi zake​
Hawezi kwenda ikulu kwa kuwaeti alipugwa risasi 100 hakufa​
MKUU HAAKUPIGWA RISASI YULE HAYAWANI ILA ALIPARAZWA PARAZWA TU ZILE
 
Awe makini tu, nakumbuka hata kipindi kile alituambia Ndugai wala nani hawezi kumvua ubunge wake na vifungu kibao tu vya sheria akatutajia ila mwisho wa siku wote tuliona nini kilitokea.

Hata kwenye ubunge wa Nasari pia alituambia mambo hayohayo ya Sheria this sheria that.

BTW:Miaka yote dunia inafuatilia chaguzi za nchi hii kupitia mifumo rasmi ya mabalozi na waangalizi wao wa uchaguzi na miaka yote hiyo toka 1995 hizo kelele za rough zinasikika tu.

Hao Amsterdam & Partners ndo dunia anayoizungumzia?
 
Dawa ni kuwapa kichapo cha mbwa koko kubwa jinga Shibuda na Profeselii Lipumba waliotumwa na CCM kwenda kufanya ushetani wao.
 
Ashikilie hapahapa!!! Mimi mwenyewe nilienda kushangaa hikihiki anachobisha, na Kura yangu haipati, Maana Kwa picha ni Lisu lakini ndani yake sivyo tumwonavyo

Basi utakuwa ni mshamba fulani, maana kama ni kumuona hata kwenye media anaonekana sana tu. Halafu ww unaoonekana utakuwa ni jizee fulani ambaye umejua kutumia mitandao hivi karibuni, ndio maana unashoboka na stori za kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…