Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mashetani wa kijani wakituzimia mitandao itakuwaje ?Ukombozi utafanikiwa kupitia mitandao hata kama media zitabanwa.
Nashukuru Mungu hata wewe mwenyewe husmini ulichokiandika.Ccm lazima ianguke mwaka huu na kitakuwa historia kama Kanu Kenya.
TBCcm inatakiwa kufanyiwa kama kile kilichofanywa kwenye ofisi za Fatma KarumeTBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote lakini cha ajabu TBC imekuwa TV binafsi ya CCM
Wewe uliwahi kupigwa risasi moja na hujawahi kuongelea kupigwa kwako hiyo risasi moja?Lissu hawezi kuzungumza bila kuongelea risasi zakeHawezi kwenda ikulu kwa kuwaeti alipugwa risasi 100 hakufa
Mungu ni mkubwa,,,,, mabadiliko yatatimia tuSafi Sana. Huyu ndiye jeshi la mtu mmoja. Anamfanya John mwenye kila aina ya nyenzo akose usingozi.
Huyu Lisu itakuwa kazungukwa na malaika.
Natamani NEC walikate jina lake nione nyie vikaragosi mtafanyaje.Sasa wakate jina la TL kwa vigezo vya ccm ndipo watajua hasira za wananchi zimefukuliwa wapi, maana walizoea kuwachukulia watanzania kama mazombi kwamba lolote wanaloamua wao kwa maslahi yao linafuatwa... Watanzania wasasa sio wa 2010 wala 2015 kimtazamo na kiuthubutu
Ila wewe jinga sana. Sidhani hata una marafiki huko mtaani kwako. Una hoja za kijinga kijingaKapona ili atubu ushetani labda, who knows?
Mimi natamani akatwe jina lake halafu nione Hawa Mbwa wa ufipa watafanyaje !Awe makini tu, nakumbuka hata kipindi kile alituambia Ndugai wala nani hawezi kumvua ubunge wake na vifungu kibao tu vya sheria akatutajia ila mwisho wa siku wote tuliona nini kilitokea.
Hata kwenye ubunge wa Nasari pia alituambia mambo hayohayo ya Sheria this sheria that.
BTW:Miaka yote dunia inafuatilia chaguzi za nchi hii kupitia mifumo rasmi ya mabalozi na waangalizi wao wa uchaguzi na miaka yote hiyo toka 1995 hizo kelele za rough zinasikika tu.
Hao Amsterdam & Partners ndo dunia anayoizungumzia?
Jiandaeni kuingia barabarani mfumuliwe malinda na kusafishww mitaro .Dawa ni kuwapa kichapo cha mbwa koko kubwa jinga Shibuda na Profeselii Lipumba waliotumwa na CCM kwenda kufanya ushetani wao.
Kweli kabisaCcm bila wakurugenz haipumui.... lisu awaambie wazi wananchi kwann hawajiulizi manasheria mkuu kuwarejesha wakurugenzi kibabe baada ya kesi ya kuwaondoa aliyoisimamia bwana wangwe kushinda.
Kama wangekua wanajiamini wangeruhusu wakurugenzi wasiwe wasimamizi
Lazima kutakuwa na plan BMashetani wa kijani wakituzimia mitandao itakuwaje ?
Wajumbe wa NEC wanaendelea na kazi.Lazima kutakuwa na plan B
Na hata wagumu kuamini kuliko yeye wamrudie Mungu.Yesu hakufufuka ili atubu, Bali ili wasioamini kama wewe wapate kutubu waokoke!
Kama wewe unavyozizungumzia risasi zake!Lissu hawezi kuzungumza bila kuongelea risasi zakeHawezi kwenda ikulu kwa kuwaeti alipugwa risasi 100 hakufa
Kanuni ya ccm usiilete kwenye kanuni ya NEC.Jiandaeni kuingia barabarani mfumuliwe malinda na kusafishww mitaro .
Kwa taarifa yenu Jina linakatwa kwa kigezo cha kuanza kampeni mapema kinyume na maadili ya uchaguzi.
Wajumbe wa NEC wanaendelea na kazi.View attachment 1545978
Dodoma ConferenceBerlin Conference