Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema pingamizi ya kufanya kampeni kabla ya wakati ni kelele za kupuuzwa, awananga wahariri wa Vyombo vya Habari

Natamani NEC walikate jina lake nione nyie vikaragosi mtafanyaje.

Kama hamataishia kulalama mitandaoni kwa taarifa yako jina tunakata na hakuna lolote mtakalifanya.

Wewe unafikiri mtaleta vurugu muangaliwe tu ...Kwani mkipotezwa watu elfu nchi ikaendelea kuwa salama kuna tatizo.

Jaribuni kuleta vurugu muone na jina tunalikata.
 
Mimi natamani akatwe jina lake halafu nione Hawa Mbwa wa ufipa watafanyaje !

Maana wakiwa mtandaoni wanabweka Kama Mbwa Koko ukiwapeleka field zero tupu.
 
Ccm bila wakurugenz haipumui.... lisu awaambie wazi wananchi kwann hawajiulizi manasheria mkuu kuwarejesha wakurugenzi kibabe baada ya kesi ya kuwaondoa aliyoisimamia bwana wangwe kushinda.

Kama wangekua wanajiamini wangeruhusu wakurugenzi wasiwe wasimamizi
 
Dawa ni kuwapa kichapo cha mbwa koko kubwa jinga Shibuda na Profeselii Lipumba waliotumwa na CCM kwenda kufanya ushetani wao.
Jiandaeni kuingia barabarani mfumuliwe malinda na kusafishww mitaro .

Kwa taarifa yenu Jina linakatwa kwa kigezo cha kuanza kampeni mapema kinyume na maadili ya uchaguzi.
 
Kweli kabisa
 
Kama kafanya kosa,atakatwa na pakwenda hana,na la kufanya hana,kwenye swala makinikia alitia vitisho Kama hivyo,badala yake wazungu wakaja wenyewe ikulu kumwona Magu,na mpaka Sasa hakuna aliyenyolewa bila maji,hii takataka haiwezi kushika nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…