Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema pingamizi ya kufanya kampeni kabla ya wakati ni kelele za kupuuzwa, awananga wahariri wa Vyombo vya Habari

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema pingamizi ya kufanya kampeni kabla ya wakati ni kelele za kupuuzwa, awananga wahariri wa Vyombo vya Habari

Plan was Lissu to die; kulikuwa hakuna nyingine...

Sasa Lissu aliye hai tena atatusumbua mno!! Njia nyepesi ni kukata jina na kumsweka ndani tupumue pumue wakati wa kampeni...

Atatoka tukishamwapisha Rais wetu!!
Wewe mbweha dua zako za Bangi zitakupa laana unakufa mda si mrefu kwa laana acha ufala wako hakuna cha kukata jina wala kuwekwa jela utasubiria sana
 
Waanze na Jiwe kumkata
Vigezo na masharti kuzingatiwa, kama hatimizi atakatwa, wote tunapitia hayo kwenye maisha yetu, tusipotimiza vigezo vilivyowekwa aidha kwa kujua au kutokujua tunakatwa, ...
 
Toka aanze kuongea ni kelele tuu.. hajaongea point.

Na watu wanampuuza tu.
 
Lissu hawezi kuzungumza bila kuongelea risasi zakeHawezi kwenda ikulu kwa kuwaeti alipugwa risasi 100 hakufa
[/Q
Ati nawe ni mama wa familia na inakutegemea kwa kila kitu hivi si bora hiyo familia iongozwe na shetani.
 
Ndo mana hata vyombo vya habari vinampuuza
Vyombo gani vinampuuza? Vyombo vyako huko unaposhinda ukivuta Bangi na kutojua kuwa mtukufu na CCM ndiyo wamezuia vyombo vya habari kuripoti habari za Tundu lisu, Hakuna mabaya yasiyo na mwisho, walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, chiluba, Abacha, mabutu, Elbashiri, Iddy Amin Dada wapo wapi sasa?
 
Awamu hii kidogo uchaguzi wahusika wasipokuwa makini vurugu zaweza tokea maana kuna dalili mimi kama kamisaa nishaanza kuziona na kusikia.
Ni suala la muda tuu.
 
Wanaopiga kelele ooh mabeberu ni wendawazimu Tundu, hupaswi hata kupoteza muda kuwazungumia. Walevi tu wa siasa ndio wanaoimba mabeberu na wengine kurudia kama kasuku. Upumbavu mkubwa sana tunao Watanzania
 
Ubeberu ni hoja mfu ya wapigania Uhuru miaka mingi ilopita....kuwaaminisha watu ushoga pia ni upumbavu tu.
 
Tunisia Egypt Algeria malawi Zambia kenya congo ghana Gambia Zimbabwe walikuwa na Tabia hizo sasa wapo wapi?
 
Jiwe litafyekwa na wananchi ambao hawalipendi kama nini na huu mwaka lishuhudia kwamba halipendwi
Time itasema
images%20(10).jpeg
 
Julisha kama kuna mwenye majibu ya maswali waliyouliza waandishi wa habari maana muendelezo wake haupo
 
Dawa ni kuwapa kichapo cha mbwa koko kubwa jinga Shibuda na Profeselii Lipumba waliotumwa na CCM kwenda kufanya ushetani wao.
Ya mwaka huu yatakuwa fundisho we subiri tu mkuu
 
Kwenye video hakuna kitu kizuri Kama kumona TAL akisimama kwa zaidi ya dak 40, akihutubia logically na kuandika....The Man is functioning normally as if nothing happened to him.
 
Muda huu Lissu anazungumza na vyombo vya habari nchini
Update zaidi kuwafikia
====

Mgombea Urais kupitia chama cha CHADEMA ameelezea ziara yake kwenye mikoa 16 na kufanya mikutano mikubwa na wananchi, amesema vyombo vya habari hasa televisheni hazijaona mikutano hiyo kwa hivyo haikonyeshwa mahali popote.

Lissu amesema lakini mtandaoni unaweza kuona mamia na maelfu ya watanzania wamehudhuria mikutano hiyo. Mikutano inayoonyesha kwamba watanzania wako tayari kwa mabadiliko makubwa kwenye nchi.

Lissu ameendelea kusema watu hawakwenda kumshangaa mtu aliepigwa risasi 16 bali wameenda kumuona kiongozi wanaemfahamu licha ya matatizo aliyopitia amesimama imara kutetea maslahi ya Wananchi na hawakwenda kumshanga kama alivyosema mtu ambae hajamtaja jina.

Lissu amesema Watanzania hawatakuwa tayari kufanyiwa mchezo mchezo kwani ni ujumbe uliotolewa na wananchi kwenye mikutano hiyo.

Lissu amesema anasikia kelele kelele kwamba wanafanya kampeni kabla ya wakati na watawekewa pingamizi. Amesema hayo ni makelele na kwenye sheria ya uchaguzi hamna kosa la kufanya kampeni kabla ya wakati.

Amesema neno kampeni maana yake ni kampeni baada ya kuteuliwa wagombea ambayo amefanya Magufuli kwa miaka mitano kuonyesha anavyofaa hivyo makelele yanaweza kupuuzwa.

Lissu amezungumzia ofisi ya Arusha kuchomwa moto na watu wanaodaiwa wasiojulikana ambao wao tayari wamewajua ni CCM kwani amedai ofisi hiyo imekodishwa kwa mtu ambae ana mahusiano na mgombea udiwani wa CCM na huyo mgombea amesema waliochoma ni viongozi na wanachama wa CCM kata ya Kimandolwa, Arusha Mjini na wamezipeleka polisi kutimiza wajibu kwani hawatafanya lolote.

Pia Lissu amezungumzia barua za mawakili wake ambao wamemuandikia Rais na Jaji Mkuu na kusema mwaka huu hakuna rafu ya watu wasiojulikana tena kwani dunia inatazama na hakuna kujificha. Amesema yeyote ambae atajaribu kuvuruga uchaguzi mwaka huu kutakuwa na 'consequences' ndani ya nchi na nje ya nchi.

Ameendelea kusema kuwa wanataka kushindwa kwenye sanduku la kura na ushindi wa mezani haukubaliki kwa mujibu wa sheria za Tanzania na kimataifa na wao hawatakubali.

Amesema kutakuwa na 'consequences', nchi hii ni tegemezi sana, watoto hasomeshwi bila hela za benki ya dunia na haiwezakani kwenda popote bila misaada ya nchi za nje na nchi hizo zinafuatilia uchaguzi huu kwa karibu kwelikweli.

Mwisho ameviongelea vyombo vya habari, amesema tumekuwa kichekesho cha dunia, ukifungua ITV, Star TV, Channel ten, Uhuru, Jamvi la habari na gazeti lolote mziki ni uleule, CCM CCM, Magufuli Magufuli. Amesema ukitaka uthibitisho ni coverage.

Lissu amesema waandishi waliofika anaamini wakifika wanapeleka kwa wahariri wanaoamua kitu gani kiandikwa na kirushwe. Amesema ni wahariri na Abbas ambae amekuwa mhariri mkuu katika vyombo vyote vya habari nchini.
Bora umewaambia Mh.Rai mtarajiwa,ubishi wa CCM unaweza kuleta sintofahamu nchi hii.Wasijaribu kuchakachua hatua yoyote ya mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2020,Sisi wapenda haki hatutakuwa tayari kwa dhuluma.
CCM, nawashauri Mara hii moja maishani mwenu msifikirie kuiba kura ili mjitathmini kukubalika kwenu kwa asilimia halisi.Msijidanganye kwa gharama ya Watanzania, hamkubaliki Haya chembe.Pia kuweni wazi na msimdanganye mwenyekiti wenu ili astaafu kwa Heshima.
 
Nimesoma alichokiongea nahitimisha kwa kusema hakuna la maana zaidi ya kujihami .

Chonde chonde Tume ya Taifa ya Uchaguzi nawaomba sana huyu mtu msimuondoe kwenye kinyanganyiro huyu mtu tuachieni tumfundishe nini maana ya siasa.

Tuachieni tumuonyeshe kwamba hatuvutiwi na Siasa za kutembea na Risasi matakoni.
 
Back
Top Bottom