Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
 
Huyo ni Mrema ajaye!

Atapita mulemule.
 
Mtu hajawahi hata kuwa Mwenyekiti wa chama, ndiyo aje kuwa rais!!?
 
Labda awe Rais wa CHANETA madada wenzake
 
Na stress zilimfanya ashindwe kujiamini na kutokufuata COVID protocol akafa.

Akafa manina zake na nchi imekombolewa. Mauwaji ya kiholela hakuna tena zaidi ya mauwaji ya police
 
-hebu taja miongoni mwa kauli za Lissu za kuwagawa watanzania
  • hebu taja kitu alichoropoja lissu ambacho ni cha hovyo?
  • Kwa hiyo mtu mkimwa ndio anafaa kuwa Rais?
-
 

Mkuu samahani ,hivi alipokuwa rais wa TLS ulikuwa bado hujazaliwa ? Kama ulikuwepo utaweza nikumbusha alipitia figisu zipi kabla ya uchaguzi kufanyika wa TLS ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…