Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atikisa ndani ya Wilaya mpya ya Nyehunge

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu atikisa ndani ya Wilaya mpya ya Nyehunge

Ila Tundu Lissu ni noma...
Hakuna Television inayofuatilia ana fanya nini wala kutoa taarifa...lakini bado watu wanajitokeza kumlaki na wanapenda sana kuimba ule wimbo anaochukia baba mwenye nyumba...''raisi raisi riasi raisi raisi riasi''
Hahahaa Kimbunga kumba kumba
 
Wapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
View attachment 1579348
Buchosa fanyeni kweli jiwe alipokuja huko pamoja na kwamba anaomba kura lakini akawaambia atabomoa nyumba zenu kupanua barabara Bila fidia yeyote
 
CCM ya Magufuli hali ni mbaya sana, Magufuli yu hoi kitandani Dodoma. Amekata moto. Chezea Lissu wewe. Wamemtoa mzee Lowassa awasemee lakini mzee wa watu bado anawaza mashamba yake alioporwa na Magufuli., ajuhi hata anacho sema.
Duuu
 
Katika Kampeni Kuna propaganda siku zote!
Kuna kutengeneza taswira za uongo kuonesha kuwa fulani anakubalika nk!
Mojawapo ya mbinu inayotumika Sana hapa kwetu Ni kutengeneza picha au video za kudanganya macho au chombo Cha habari kupiga picha inayopotosha!

Mbinu hii hivi Sasa inatumiwa na Vyama vyote,hususani CCM na CHADEMA!
Lakini hili la Tundu Lissu kupokelewa na kushangiliwa na maelfu ya watu kila Kona linafikirisha Sana kuelekea Oktoba 28.
Kama wanaomsikiliza huko viwanjsni na kumkubali Ni asilimia 70 basi iko kazi Mwaka huu!

Aidha Kuna kundi kubwa la watu wasioenda kwenye mikutano,kundi hili si la kudharau na hapo ndipo Siri ilipo!
Mtaani kwangu Kuna nyumba Kama kumi hivi ambazo ktk uchunguzi nilifanya hawaendi kwenye mikutano ,Ila Kati yao 70% watampigia kura Tundu Lissu,Hawa nakutana nao vijiweni ,kanisani na jumuia !
Kati yao karibu 50% Ni wastaafu!

Kwa ujumla Uchaguzi huu Ni mgumu kinyume kabisa na ilivyotarsjiwa!
Mimi naishi mji ambao inasemekana Ni ngome Imara yaCCM!
Ni lazima tuukabili ukweli kuwa Tundu Lissu kabidili upepo wa Siasa Mwaka huu ktk Hali ambayo haikutegemewa!

Bila Shaka kwa wapunzani wake Hali hii inawapa wakati mgumu mno!
Ndio maana wenye Dini zao wanasema hii Ni NGUVU YA MUNGU!
Sababu ya maumivu. Inashauriwa maumivu yakizidi muone daktari. Sasa watu wakizidi kwa daktari waganga wa kienyeji wanasema huo ni uwongo.
Matunguri yamebuma
 
Wapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
View attachment 1579348
Ukiwa Mgeni Wa Siasa Za Tanzania Mgeni kwa Watanzania Hata yanaeza kusumbua Akili Yakoo hahaha. Lakini Ukiamini kuwa Anachokifanya Lissu hafikii hata Nusu Ya Alichokifanya Lowassa Basi Wewe unatulia Na kusubiri Unachoamini Kuwa ndio utachosikia na kushuhudia October 28
 
Hivi alipofika chato lisu alipanda chopa? Maana sijaona picha za chato.
 
Back
Top Bottom