Kwa Shigongo huku atapita, maana najua mazingira ya huku kdg, chadema inabidi kuwekeza Nguvu kdg huku next time Mambo yatabadilika.ila magufuli mhh! Labda watumie mbinu zao za gizani zile. Namaanisha pembeni ya Nyehunge wananchi wamezubaa kdg. Ndiko wabunge wa ccm wanapopataga Kura zao za ushindi. Wananchi wa huku Wana blanket usoniKwa hiyo Shigongo hashindi, Magufuli hashindi?ππππππππππ.