Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaenda na Lissu tarehe 28 bibie dina?
Utatekwa ujue
October 28
Huyu bwana mkubwa nimemvulia kofia. Ni noma sana Lissu. Unstoppable.
Asante...lazima siwezi kosa
Huyu bwana mkubwa nimemvulia kofia. Ni noma sana Lissu. Unstoppable.
Tarehe 28/10/2020 siyo mbali tutajua nani ni dume zaidi.Wapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
View attachment 1579348
Amina mrembo, tunahitaji reforms katika mifumo kuendesha taifa letu. Tuachane ma utumwa hisani one man show.Bila wasanii wala nini. Go Lissu. You are our Joshua. Tupeleke kanaani. Miaka 60 soon bado tupo Misri. Enough is Enough.
Nyomi vs kushinda kura vs kushinda uchaguzi dhidi ya kutangazwa mshindi then kuapishwa
Ila Kikwete alifanya kazi sana sana kwa hili
Hahahaaa
Nyomi sio kura. Na vile waligoma kuhakiki taarifa..... sasaivi wapo wanategemea ushindi wa miujiza😆😆Hilo la nyomi?
Kwa comment hii inaonesha nyote mmeanza kukata MotoOctober 28
Sikiliza mwanalumumba....Niko kikazi maeneo haya ya Buchosa. Siku magufuli anapita nilikuwepo halmashauri pale Nyehunge ambapo ndo makao makuu ya halmashauri ya Buchosa.Ya kutengeneza hiyo!! 😀😀😀
Hivi kuandika habari kama hizi ndo kujifariji au, maana huu ni uongo kabisa.CCM ya Magufuli hali ni mbaya sana, Magufuli yu hoi kitandani Dodoma. Amekata moto. Chezea Lissu wewe. Wamemtoa mzee Lowassa awasemee lakini mzee wa watu bado anawaza mashamba yake alioporwa na Magufuli., ajuhi hata anacho sema.
Kwa hiyo Shigongo hashindi, Magufuli hashindi?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.Sikiliza mwanalumumba....Niko kikazi maeneo haya ya Buchosa. Siku magufuli anapita nilikuwepo halmashauri pale Nyehunge ambapo ndo makao makuu ya halmashauri ya Buchosa. Kazi hazikwenda toka asubuhi mpk saa nane alipoondoka na sababu watumishi wa pale walipewa maagizo wasogee barabarani sio mbali.kulikua na fuso na mabasi ya Nyehunge kadhaa yaliyowaleta wanacm Kuja Nyehunge kumsikiliza Tok vijiji vya pembeni...Kama kahunda,kanyala,bupandwa nyumbani kwa Eric shigongo nk. Watu woote wale pamoja na wale wa pale Nyehunge(centre) hawafikii robo ya hii nyomi ya Leo. Tunajua mnajifariji Ila nyoyo zinauma.ila msiwe kenge kiasi hicho kukataa ukweli Huu kua huyu bwana Mungu Yuko upande wake.achaneni na huyo shetani atawapeleka motoni khaaa.hamuelewi tu?
Sikiliza mwanalumumba....Niko kikazi maeneo haya ya Buchosa. Siku magufuli anapita nilikuwepo halmashauri pale Nyehunge ambapo ndo makao makuu ya halmashauri ya Buchosa. Kazi hazikwenda toka asubuhi mpk saa nane alipoondoka na sababu watumishi wa pale walipewa maagizo wasogee barabarani sio mbali.kulikua na fuso na mabasi ya Nyehunge kadhaa yaliyowaleta wanacm Kuja Nyehunge kumsikiliza Tok vijiji vya pembeni...Kama kahunda,kanyala,bupandwa nyumbani kwa Eric shigongo nk. Watu woote wale pamoja na wale wa pale Nyehunge(centre) hawafikii robo ya hii nyomi ya Leo. Tunajua mnajifariji Ila nyoyo zinauma.ila msiwe kenge kiasi hicho kukataa ukweli Huu kua huyu bwana Mungu Yuko upande wake.achaneni na huyo shetani atawapeleka motoni khaaa.hamuelewi tu?
Swali limekaa kiukabila ukabila kiubaguzi ubaguzi kiujumbo ujimbo Kama kilivyo iko CHAMA CHAKO na kwa hilo ndio mnaenda kushindwwHivi alipofika chato lisu alipanda chopa? Maana sijaona picha za chato.
Sorry Sana Mkuu. Tatizo tuna moto na Hawa lumumbaz waliolegea mpk tunagongana makutano😂✌️✌️Uwe unaelewa basi ndugu!! Nimeweka imoj za kucheka maana yake nawacheka buku saba!! Wao si ndiyo wanadai za kufoji 😀😀😀