Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Kila jambo na wakatiwake na kila jambo na majira yake kuna wakati wa kucheka na wakati wa kulia,Hata Lowassa mlisema hivyo hivyo bwashee!
Mkuu hata kama ungekuwa wewe. Kilichobaki tu kwa Magu ni jeshi. Ambalo nalo litamshangaza October.Magufuli akiona hizi picha anapoteza kabisa amani ya moyo.
Asante sanaKila jambo na wakatiwake na kila jambo na majira yake kuna wakati wa kucheka na wakati wa kulia,
Kuna wakati wa panda na wakati wa kuvuna huu ni wakati wa kicheko kwa Lissu
Mungu akisema ndio hakuna wa kumpingaYaani hadi nyumbani Lissu anachakaza?hiiii bhagosha!!
Hahahaa Kimbunga kumba kumbaIla Tundu Lissu ni noma...
Hakuna Television inayofuatilia ana fanya nini wala kutoa taarifa...lakini bado watu wanajitokeza kumlaki na wanapenda sana kuimba ule wimbo anaochukia baba mwenye nyumba...''raisi raisi riasi raisi raisi riasi''
Kuliko wewe!Katiba ya JMT inayotumika ktk uchaguzi huu huska unaifahamu vizuri?
Sijakua mpole ni majukumu ya kijamii yamekua mengiNaona umekuwa mpole sana mama D ,hapo na bado mwaka huu ni zamu yenu kuisoma namba ,lissu mbele kwa mbele
This guy is real burning SpearWapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
View attachment 1579348
Buchosa fanyeni kweli jiwe alipokuja huko pamoja na kwamba anaomba kura lakini akawaambia atabomoa nyumba zenu kupanua barabara Bila fidia yeyoteWapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
View attachment 1579348
DuuuCCM ya Magufuli hali ni mbaya sana, Magufuli yu hoi kitandani Dodoma. Amekata moto. Chezea Lissu wewe. Wamemtoa mzee Lowassa awasemee lakini mzee wa watu bado anawaza mashamba yake alioporwa na Magufuli., ajuhi hata anacho sema.
Sababu ya maumivu. Inashauriwa maumivu yakizidi muone daktari. Sasa watu wakizidi kwa daktari waganga wa kienyeji wanasema huo ni uwongo.Katika Kampeni Kuna propaganda siku zote!
Kuna kutengeneza taswira za uongo kuonesha kuwa fulani anakubalika nk!
Mojawapo ya mbinu inayotumika Sana hapa kwetu Ni kutengeneza picha au video za kudanganya macho au chombo Cha habari kupiga picha inayopotosha!
Mbinu hii hivi Sasa inatumiwa na Vyama vyote,hususani CCM na CHADEMA!
Lakini hili la Tundu Lissu kupokelewa na kushangiliwa na maelfu ya watu kila Kona linafikirisha Sana kuelekea Oktoba 28.
Kama wanaomsikiliza huko viwanjsni na kumkubali Ni asilimia 70 basi iko kazi Mwaka huu!
Aidha Kuna kundi kubwa la watu wasioenda kwenye mikutano,kundi hili si la kudharau na hapo ndipo Siri ilipo!
Mtaani kwangu Kuna nyumba Kama kumi hivi ambazo ktk uchunguzi nilifanya hawaendi kwenye mikutano ,Ila Kati yao 70% watampigia kura Tundu Lissu,Hawa nakutana nao vijiweni ,kanisani na jumuia !
Kati yao karibu 50% Ni wastaafu!
Kwa ujumla Uchaguzi huu Ni mgumu kinyume kabisa na ilivyotarsjiwa!
Mimi naishi mji ambao inasemekana Ni ngome Imara yaCCM!
Ni lazima tuukabili ukweli kuwa Tundu Lissu kabidili upepo wa Siasa Mwaka huu ktk Hali ambayo haikutegemewa!
Bila Shaka kwa wapunzani wake Hali hii inawapa wakati mgumu mno!
Ndio maana wenye Dini zao wanasema hii Ni NGUVU YA MUNGU!
Hivi ccm mnajisikiaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi ccm mnajisikiaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunaenda na Lissu tarehe 28 bibie dina?Hivi ccm mnajisikiaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Paul Scholes hakuwa kichwa maji hiviUpinzani ulishakufakufa tangu 2015, kilichobaki ni futuhi.
Anajifariji ni za 2015.Magufuli akiona hizi picha anapoteza kabisa amani ya moyo.
Inaweza kuwa kweli za 2015 maana Magufuli ana wataalamu wengi wa kutambua pichaAnajifariji ni za 2015.
Ukiwa Mgeni Wa Siasa Za Tanzania Mgeni kwa Watanzania Hata yanaeza kusumbua Akili Yakoo hahaha. Lakini Ukiamini kuwa Anachokifanya Lissu hafikii hata Nusu Ya Alichokifanya Lowassa Basi Wewe unatulia Na kusubiri Unachoamini Kuwa ndio utachosikia na kushuhudia October 28Wapo wanaodai kuwa Tundu Lissu anafanya mkutano mjini tu. Hapa ni wilaya mpya ya Nyehunge jimbo la Buchosa na Lissu anatikisa kila kona. Tukutane baadaye Geita mjini
View attachment 1579348
Ukijibiwa nitag tafadhali Mkuu!Hivi alipofika chato lisu alipanda chopa? Maana sijaona picha za chato.