Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tutarusha chopa tatu kwa mpigo!Tarehe 3 vyama vya upinzani tutatangaza kumuunga mkono Tundu Lissu. Maalim seif Sharif Hamad,Mwenyekiti ACT wazalendo Taifa
Wataelewa tu mwezi ujao.Wanajifanya Mbuni
Fungua hapo juu ujionee.hawakuletwa na malori hao nahayo ni mapokezi tuu.mkutano ni keshoMkuu video basi
Eeh mkoani kwa wanachatoHeeeee hii Ni Geita[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji847][emoji847]
Hata huoni Tena ya Leo funga kazi hizo picha kama za nchi ya Burkina Faso angalia na usikikize wasindikizaji lugha wanayoongea hata haieleweki Ni ya wapi.Hongera Sana Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema.Mumetisha leoCCM watasema video ya mwaka 2015
Mkuu video basi
Umeshafungua hiyo video hapo juu mkoani geita inakopatikana wilaya ya chato?Endeleeni kumdanganya Lussu. EU wenye akili wamesha kubali ya ishe. Lissu is a losing horse and curse to this nation "Tanzania" Someone needs to be out of his/her mind to support him.
Hujiulizi mbona zina Giza
Tumeingia geita leo jioni.fungua hiyo video hapo juu.Mbowe huyu huyu mwangushwa konyagi na mla billion 8 za michango ya wabunge ndiyo aokoe jahazi la Lisu??
Hujiulizi mbona zina Giza
Hata huoni Tena ya Leo funga kazi hizo picha kama za nchi ya Burkina Faso angalia wasindikizaji lugha wanayoongea hata haieleweki .Hongera Sana Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema.Mumetisha leo
Mwaka huu mpaka mtage tumeingia geita leo jioni.Hata huoni Tena ya Leo funga kazi hizo picha kama za nchi ya Burkina Faso angalia na usikikize wasindikizaji lugha wanayoongea hata haieleweki Ni ya wapi.Hongera Sana Kitengo Cha uchakachuaji picha Cha Chadema.Mumetisha leo
Mbowe huyu huyu mwangushwa konyagi na mla billion 8 za michango ya wabunge ndiyo aokoe jahazi la Lisu??