Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Namuomba YEHODAYA ajitokeze tena na akane kuwa hayo si kweli aliyaandika humu Jamii Forums, namsingizia tu. Uzuri wa hii mitandao ni kwamba huwezi kufuta ulicho-post, unaweza kujidanganya umefuta lakini huko mawinguni maandishi yako yatabaki tu upende usipende. Si hivyo tu waliokuwa Jamii Forums wakati huo, wote walisoma yote aliyoyaandika huyo YEHODAYA
[/QOUTE\]
Yehodaya jukwaa la Siasa Kuna ugonjwa hua unamsumbua. ..fistula si fistula
Autism si autism...msamehe tu
Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.
Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!
Video: Katoro Geita
View attachment 1578469
View attachment 1578469
View attachment 1578537View attachment 1578539View attachment 1578540View attachment 1578541View attachment 1578542View attachment 1578543View attachment 1578544
Wanaoiba si CCM kama chama, ni viongozi wanaofahamika kwa majina na sura. Kila mhusika atawajibika kama yeye na hujuma aliofanya kuharibu uchaguzi. Kama ni msimamizi, kama ni polisi, kama mwana CCM...wote watawajibika kama wao na si vyombo wanavyoviwakilisha.Mimi swali langu la msingi ni hili:-
• Wapinzani watahakikishaje kuwa kuna Tume huru ya uchaguzi?
Utamzuiaje CCM kuiba kura?
Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.
Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!
Video: Katoro Geita
View attachment 1578537View attachment 1578539View attachment 1578540View attachment 1578541View attachment 1578542View attachment 1578543View attachment 1578544View attachment 1578469
Asilimia 99 ya uliyopost hapa ni vurugu tu,Kama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.
Mbona amekimbia chato?Wakati kesho tukijiandaa kwa mkutano mkubwa Geita Mjini, leo Katoro muda huu Tundu Lissu ametua hapa na umati mkubwa umejitokeza kumsindikiza na kusikiliza sera za kuwakombia.
Kwa hakika lipo la kujifunza kwa watu wa CCM. Msijifanye hamuoni kinachoendelea!
Video: Katoro Geita
View attachment 1578469
View attachment 1578469
View attachment 1578537View attachment 1578539View attachment 1578540View attachment 1578541View attachment 1578542View attachment 1578543View attachment 1578544
Tusubiri tuone, si mara moja katika chaguzi kumekuwa na malalamiko makubwa ya kuibiwa kura au kutokuwepo kwa usimamizi wa haki.Aisee kura zitapigwa then zitahesabiwa. Pale kwenye majumuisho ndio huwa wanaingiza za kwao. Sisi tutakuwa nazo za kwetu. Aisee tukishinda watatutangaza tu. Wapende wasipende.
Sure👍👍🤣🤣Jibu konki
Iringa leo vipi? Mshauri ni Lissu uchaguzi ndio umeshaisha hivyo. Ajiandale kurudi kumliwaza yuke senator wa UsA rais wa jumuiya ya machoko duniani.That was fake news acheni kujidanganya, ukweli upo field mzee. Nadhani unaweza ona nguvu aliyonayo ingawa huwezi kiri mdomoni.
EU ya Lumumba chini ya pole pole
EU ya chato au?
CCM miaka yote mnajazaga viwanja Iringa tokea 2010 ila mmeambulia nini huko? Hapo tunajua mmejaza watu from all corners na wengi wanakuja kuangalia wasanii na promo huwa kubwa kwa hilo nawapongeza but wachache huja kusikiliza sera.Iringa leo vipi? Mshauri ni Lissu uchaguzi ndio umeshaisha hivyo. Ajiandale kurudi kumliwaza yuke senator wa UsA rais wa jumuiya ya machoko duniani.
Sikutegemea kama Lissu atapata hilo nyomi Geita nyumbani kabisa😁😁!Lissu atawatoa roho kampeni hizi!
Toka vyama vingi hakuna chaguzi CCM kamshinda Maalim kwa gap ya 70% eti 2020 ndio apate 25%, are we serious?Hapana ya mabalozi wa nchi 15 za UE. Hapo sijamtaja wa Italy na Northern Ireland, kumbuka hilo, ndio ni muhimu, Lissu are you aware of this?!!! Umelikoroga usipo linywa utakoga tu, that much I'm sure of it.
CCM miaka yote mnajazaga viwanja Iringa tokea 2010 ila mmeambulia nini huko? Hapo tunajua mmejaza watu from all corners na wengi wanakuja kuangalia wasanii na promo huwa kubwa kwa hilo nawapongeza but wachache huja kusikiliza sera.
Ila imagine Lissu alitua hapo no Mbowe no Mdee no one else ila yeye tu na kina Bananga afu kajaza nyomi kila kituo mkoani hapo ssa jiulize angekua na timu ya promo pana ikiwa na hamasa ya wasanii kma Kiba na Mondi upepo ungekuwaje?
Kabla hujapima ukubwa wa mkutano linganisha investment ya CCM na Lissu kwenye kampeni. Then piga hesabu nani ka break even kuliko mwenzie?
Kura yangu asubuhi na mapema kabisa kwa Lissu!Ukiteseka ni juu yako!Hivyo hivyo usifanye makosa tena kutotegemea kuwa Lissu atapata kura chini ya 5% hapo 28 okt 2020. Mwambieni ukweli Lissu ajiandae kisokologia. Na washauri yule rais seneta kule marikani aje angalau hapo jirani Kenya siku ile ya matokeo kutangazwa, itasaidia kupunguza majanga huko cdm.
karibu katoro mkuuKama upinzani wakitaka mwamko wa maandamano nchi nzima, hapo katoro ndio sehemu ya kuanzia mji mdogo lakini unaamsha sana... Mji uliojaa matukio ya kila namna.
===
Hawa watu sio waongeaji sana japo wanavitendo hatari nakumbuka miaka ya nyuma walishawahi kubomoa kituo cha polisi.. Yaani wanaume wanabomoa na kuchoma magari yale yanayokamatagwa na askari wakati huo askari wanarusha mabomu ya machozi, cha ajabu wanawake walikuwa wanawaletea wanaume maji ya kunawa ili waendelee na uharibifu..chanzo cha vurugu hizi ni kwamba polisi wamemshikilia mama mmoja aliyekuwa anadaiwa mchawi.
=
=
.
Tukumbuke miaka ya nyuma sakata la waislamu na wakirsto kuchinjana kisa walalamikiana suala la kuchinja mifugo machinjioni lilianzia hapo.
Waislamu walichoma bible na wakristo walichoma Quran hadharani.. Tukio lilipelekea mchungaji kuchinjwa na waislamu huku wakristo wakimalizia hasira zao kwa kubomoa maduka ya waislamu.
.
Hapo ni mpakani mwa wilaya ya chato na geita vijijini hapo nyuma ikiwa mpakani mwa kagera na mwanza..
.
Kiufupi katoro ni mji wa kuogopa sana tena sana tu.
.
Way back kwa Mara ya kwanza nilihudhuria mkutano wa chadema 2009 uchaguzi wa marudio Hapo katoro jimboni busanda. ndio Mara ya kwanza nilimuona Tundu Lissu alikuwa kavaa t.shirt ya chadema na kofia zile za miti huku kashika tablet Mkononi.Nakumbuka Finiasi magesa mgombea wa Chadema alishinda lakini akamuuzia ubunge bi Lolensia bukwimba wa CCM.
=
.
Siku moja nitarudi huko.
Msalimie lissu mleta mada mwambie finiasi magesa alitulaza nje kisa kufuatilia matokeo yake.
..
Hongera katoro hongera Lissu.