Tundu Lissu awa bubu, ashindwa kueleza msimamo wake

Tundu Lissu awa bubu, ashindwa kueleza msimamo wake

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!


Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho

Msimamo huo huo pia ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa na chama kuapa kuwa hawatachukua kabisa luzuku itokanayo na wabunge hao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea luzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho

Mh Tundu lisu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! [emoji1787][emoji1787]

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena,

Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa luzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tz, Mh Raisi wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge wa kuyumba!

Tunahitaji kuwa JPM mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata kidogo!
Soma katiba na soma sheria ya vyama vingi vya siasa utatambua. CDM kupata ruzuku ni haki yao.
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa luzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea luzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! [emoji1787][emoji1787]

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa luzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata kidogo!
Nikukumbushe Chadema haipokei Ruzuku kwa Ajili ya Hao Wabunge Chadema inapokea Ruzuku kwa Kushiriki Uchaguzi 2020 na kupata kura zaidi ya ASILIMIA 5 someni Katiba
 
Nikukumbushe Chadema haipokei Ruzuku kwa Ajili ya Hao Wabunge Chadema inapokea Ruzuku kwa Kushiriki Uchaguzi 2020 na kupata kura zaidi ya ASILIMIA 5 someni Katiba
Acha basi ukigeugeu Mkuu!
Kuna vyama vingapi vilishiriki uchaguzi havina luzuku kwa sababu havina mbunge hata mmoja?
 
Acha basi ukigeugeu Mkuu!
Kuna vyama vingapi vilishiriki uchaguzi havina luzuku kwa sababu havina mbunge hata mmoja?
Soma katiba, ruzuku haitokani na idadi ya wabunge hata kama kingekuwa hakina mbunge hata mmoja kikitimiza vigezo (kikatiba) kinapata ruzuku.

Kushiriki uchaguzi hakukipi chama uhalali wa kupata ruzuku.
 
Midomo imezibwa.
20230318_181021.jpg
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa luzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea luzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa luzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata kidogo!
Chama gani kinapokea luzuku? Hata CCM hawapokei luzuku.
Amandla...
 
Nikukumbushe Chadema haipokei Ruzuku kwa Ajili ya Hao Wabunge Chadema inapokea Ruzuku kwa Kushiriki Uchaguzi 2020 na kupata kura zaidi ya ASILIMIA 5 someni Katiba
Hoja hii wapo wasiotaka kuisikia kabisa. Ruzuku sio hisani
 
Hoja hii wapo wasiotaka kuisikia kabisa. Ruzuku sio hisani
Hiyo hoja kwa sheria yake hakuna anayeipinga! Shida inaanzia tu pale chadema walipotangaza hadharani kuwa! Hawatachukua Ruzuku yoyote na kwamba hata huo uchaguzi hawautambui lakini pia, ni miaka kadhaa ilipita kweli bila ya wao kuchukua Ruzuku, kwa nini sasa?
 
Hiyo hoja kwa sheria yake hakuna anayeipinga! Shida inaanzia tu pale chadema walipotangaza hadharani kuwa! Hawatachukua Ruzuku yoyote na kwamba hata huo uchaguzi hawautambui lakini pia, ni miaka kadhaa ilipita kweli bila ya wao kuchukua Ruzuku, kwa nini sasa?
Nadhani hayo yanaweza yakawa matunda ya maridhiano
 
Soma katiba na soma sheria ya vyama vingi vya siasa utatambua. CDM kupata ruzuku ni haki yao.
Sawa ila walikataa na sababu yao ya msingi ni kwamba hawakutambua uchaguzi,hawatambui wabunge wao 19 walio bungeni,na hawamtambui mbunge wao na kila kitu,waka susa wakakimbia nchi ila wamerudi mlango wa nyuma wamechukua Ruzuku tena kubwa kuliko vyama vingine vya upinzani mana wao wana wabunge wengi huko bungeni.
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! [emoji1787][emoji1787]

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Ruzuku haitikani na kura za ubunge bali kura za urais.over
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Umenena ukweli ndugu. Asante sana
 
Back
Top Bottom