Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
umebakia kushukuru mzoga jf huku siku ya maombolezo hamuendi chato ndio maana mnaitwa NGURUWE kwa upumbavu wenu.Ahsante Magufuli kwa kutuonesha wahuni wa kisiasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umebakia kushukuru mzoga jf huku siku ya maombolezo hamuendi chato ndio maana mnaitwa NGURUWE kwa upumbavu wenu.Ahsante Magufuli kwa kutuonesha wahuni wa kisiasa.
pale umakin wa lissu unapopimwa na sukuma gang.Ni dhahiri hawana umakini wowote wanabwanwaja mno na kusahau mambo mengine
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
hawawez kukujibu hilo swali maana weng wao ni NGURUWE kichwan hamna kitu.Ruzuku inahusianaje na wabunge covid 19
unaelewa ruzuku huwa inatolewaje wewe nguruwe au unaswagwa tu kama ng'ombe kukoment.Acha basi ukigeugeu Mkuu!
Kuna vyama vingapi vilishiriki uchaguzi havina luzuku kwa sababu havina mbunge hata mmoja?
NGURUWE wa ccm jielimishen vinginevyo mtazeekea kwenye makorido ya lumumba na ujinga wenu.kutokana na idadi ya wabunge ndani ya bunge
Comment yako hii haiondoi uhalisia wa kile Chadema na Lissu walikuwa wanakisimamia kabla ya kuanza kula matapishi yao sasaunaelewa ruzuku huwa inatolewaje wewe nguruwe au unaswagwa tu kama ng'ombe kukoment.
Comment yako hii haiondoi uhalisia wa kile Chadema na Lissu walikuwa wanakisimamia kabla ya kuanza kula matapishi yao sasaMasikini kathread haka kamedhibitiwa kikatili kama kaharifu.
Yaani Kisamvu cha Kopo, mwenyewe amekuja na spidi akakutana na watu wenye hoja za kikatili wakaishia kumla kisamvu.
Mjinga kazi yake matusi hana hoja! Na wewe ni mmoja waoNguruwe karudie kusikiliza mahojiano ili uelewe kwanin sasa wamechukua ruzuku usijitie wazimu wakati jibu limetolewa, sukuma gang jiandaen 2025 tunawafuta kabisa.
Analeta habari za Nguruwe haramu ila supu yake halali.Inasikitisha na kutia aibu sana!
Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.
Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!
Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!
Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,
Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.
Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣
Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?
Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!
Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!
Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Mfano, bunge lina viti 200, chama A kikawa na wabunge 100 pia kikawa kimeshinda uRais, chama B kikawa na wabunge 100 ila hakikusimamisha mgombea urais,; je inamaanisha kuwa hiki chama B hakitapata ruzuku kabisa sababu hakina kura za urais?Ila kwa mujibu wa maelezo inaonesha kama unahoji ubunge wabunge wale 19 na ruzuku kitu ambacho ndio umeeleweshwa.
Elewa kama fedha ya ruzuku haihusiani na wabunge kwahiyo LIHARIRI ANDIKO LAKO
Lazima utautafuna tu ukihisi njaa.Ukipewa muwa utumie kama mkongojo kwenye safari ya ndefu na dhiki...😜
Kuchukua ruzuku leo ni matokeo ya maridhiano, kongine ukumbuke kuwa, ruzuku hiyo wanawekewa hawajaenda kuidai.Mjinga kazi yake matusi hana hoja! Na wewe ni mmoja wao
Kwa nini wanachukua Ruzuku leo na siyo awali?
Huo ndio ukwel!! Mara msemakweli ni mpenz wa MUNGU, mara makanisani na msikitin kila cku!! NB; Hakuna mwanasiasa wala kiongoz wa kisiasa mweny hofu ya MUNGU hakuna!!!!Nimeamini, wanasiasa hawawezi kumpendeza Mungu! Si wakweli hata kidogo
Duh.......au basiNa huo ndio ukweli wenyewe,,,hakuna upinzani haswa tz ni matawi ya chama tawala wengi ni njaa kali wanajitafutia namna ya kushiba kwa kujifanya wapinzani,,wakati hata ruzuku ya kuendesha vyama vyao inayotoka serikalini inahidhinishwa na chama tawala,,,watakuhadaa mwisho wa siku wao wanakutana na kugonga cheers na kulipana marupurupu,,,Jitafute/jipiganie mwenyewe ukae sawa ule maisha yako na familia yako,,,hakuna wa kukupigania maisha yako,,wao wenyewe wanajipigania kwa ajili ya maisha yao na familia zao!!!na kaa ukijua upinzani wa kweli si lelemama kama unavyofikiri na kudhani pia!!!
Hapa wapo wanaozunguzia uhalisia na hisia. Hizo ni hisiaMfano, bunge lina viti 200, chama A kikawa na wabunge 100 pia kikawa kimeshinda uRais, chama B kikawa na wabunge 100 ila hakikusimamisha mgombea urais,; je inamaanisha kuwa hiki chama B hakitapata ruzuku kabisa sababu hakina kura za urais?
Kutokana na idadi ya kurakutokana na idadi ya wabunge ndani ya bunge
saws ila chadema haiutambui huo uchaguzi ndio maana walituambia wamekataa kupokea ruzuku , kumbe baada ya maridhiano uchaguzi wameutambua na tume ni huru na kuwekea alama wamevuta mpungaNikukumbushe Chadema haipokei Ruzuku kwa Ajili ya Hao Wabunge Chadema inapokea Ruzuku kwa Kushiriki Uchaguzi 2020 na kupata kura zaidi ya ASILIMIA 5 someni Katiba