Tundu Lissu awa bubu, ashindwa kueleza msimamo wake

Tundu Lissu awa bubu, ashindwa kueleza msimamo wake

Chadema ina haki ya kuchukua ruzuku kwani vigezo na masharti wamekidhi tatizo hao wabunge waliopelekwa bungeni hawajaidhinishwa na chama ndio maana hawawatambui na wanataka watoke wapelekwe wale watakaoidhinishwa na chama.
 
Nenda ukumpatie massage Tundu Lissu. Hutaki!

Nilishakwambia, Kuzikwa Chato itakuwa ni Heshima kubwa sana kwangu au ulitaka iweje? Sasa sijui una matatizo gani. Unawashwa nini, yaani unaamka hivyo, kulala je? Aisee pole sana

2025 utakuwa hoi na usongo wa kufuatilia SYLLO. Ebo
sukuma gang 2025 tunawafuta kabisa mmebaki keyboard worriors kuomboleza jf kwa upumbavu wenu kama mnamachungu na mzoga wa chato nenden mkazikwe naye hata maombolezo ya kifo chake mmeyatelekeza matokeo yake amejikuta shigela pekeyake wajinga nyinyi.
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Kwa sasa sioni u muhimu wowote wa kuwatambua au kutowatambua wabunge wale maana baada ya kukubali kufanya maridhiano na Mkuu wa Nchi ambaye ndiye Mkuu wa Chama tawala hapo ujue Flexibility lazima iwepo kutoka pande zote zilizomo kwenye hayo mazungumzo ya maridhiano !! Kwenye maridhiano huwa hakuna kushupaza shingo !! Kumbuka Siasa sio uadui !! Tundu lisu na Chadema yake wapo sahihi katika hili !
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Hizo nafasi ni haki ya chama kutokana na kura zilizoopata uchaguzi mkuu. Walitakiwa wao watoe wabunge ila serikali ikapeleka wztu wao. Ile ruzuku ni automatic kwa kura zilizokuwa zimepatika na shetia ya uchaguzi sio huruma ya serikal kwani hata chama tawala kinapata kwa idadi ya kura ilizopata. Kitu kimoja tu uwe umeitambua serikali iliyoko madarakani sio SHARTJ LA KUPEWA RUZUKU.
 
sukuma gang 2025 tunawafuta kabisa mmebaki keyboard worriors kuomboleza jf kwa upumbavu wenu kama mnamachungu na mzoga wa chato nenden mkazikwe naye hata maombolezo ya kifo chake mmeyatelekeza matokeo yake amejikuta shigela pekeyake wajinga nyinyi.
Huna tusi jipya?
Mbona ni yale yale? Jitahidi basi uje na matusi mapya wewe asiyeweza kujenga hoja!
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Badili jina asee hilo linaukakasi sana...
huna akili ya kumwelewa Lissu!!
Tatizo kuubwa hapa nchini umeona nikupokea ruzuku ili kazi ya kuikosoa serikali ifanyike??
 
Badili jina asee hilo linaukakasi sana...
huna akili ya kumwelewa Lissu!!
Tatizo kuubwa hapa nchini umeona nikupokea ruzuku ili kazi ya kuikosoa serikali ifanyike??
Ni ujinga kujadili jina Mkuu!

Kwa nini chadema walisusia Ruzuku na sasa wanapokea bila badiriko lolote maana uchaguzi ni uleule uliowaingiza wabunge mlionao
 
Acha basi ukigeugeu Mkuu!
Kuna vyama vingapi vilishiriki uchaguzi havina luzuku kwa sababu havina mbunge hata mmoja?
Usilolijua kubali wanaolijua wakuelimishe.
Mbona la kupata ruzuku inaeleweka halitokani na idadi ya wabunge wa chama husika bali,ni kutokana na kura zaidi ya asilimia tano walizopata Chadema.
Ndiyo maana Zitto hapati ruzuku pamoja nakuwa na wabunge.
Issue ya ruzuku imefafanuliwa mara kwa mara hapa jamvini lakini watu wengine kwa maksudi kabisa wanaendelea kupotosha ukweli kwa maslahi yao.
 
Inasikitisha na kutia aibu sana!

Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.

Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!

Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!

Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,

Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.

Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣

Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?

Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!

Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!

Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Usicheze na njaa mbona muda si mrefu atapewa kadi ya ccm Nyiriri subiri
 
Khasante ila si walikataa kutambua serikali na uchaguzi uliofanyika?
Hizo ndio siasa au wewe ni mgeni kwenye siasa.
Unakumbuka mwenyekiti wa CCM alivyokuwa anashupaza shingo na kusema Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia mwenyekiti mpya wa chama hicho hicho akatangaza uwepo wa Corona.
Katika siasa lolote linawezekana.
 
Hizo ndio siasa au wewe ni mgeni kwenye siasa.
Unakumbuka mwenyekiti wa CCM alivyokuwa anashupaza shingo na kusema Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia mwenyekiti mpya wa chama hicho hicho akatangaza uwepo wa Corona.
Katika siasa lolote linawezekana.
Huo ni mpango wa huyo mwenyekiti mpya hataki kufanya kazi wala kuumiza kichwa,Corona ilikuwepo ila JPM alituondolea tu hofu na akasema tufanye kazi,huyu ameingia kaiabudu sana Corona kila siku anavaa mabarakoa ili apewe hela za wafadhili na ndo hizo anagawaia simba na yanga kwa kununua kila gori moja.
 
Hizo nafasi ni haki ya chama kutokana na kura zilizoopata uchaguzi mkuu. Walitakiwa wao watoe wabunge ila serikali ikapeleka wztu wao. Ile ruzuku ni automatic kwa kura zilizokuwa zimepatika na shetia ya uchaguzi sio huruma ya serikal kwani hata chama tawala kinapata kwa idadi ya kura ilizopata. Kitu kimoja tu uwe umeitambua serikali iliyoko madarakani sio SHARTJ LA KUPEWA RUZUKU.
Kwani uchaguzi ule ulikuwa halali?
Utapataje halali katika haramu?
 
Walipoapa kutokuchukua luzuku yao hiyo sheria haikuwepo?
Waliapa kwani?! Kwako? Manake wengine hatukusikia hicho kiapo. Chama cha Siasa ni Taasisi na kinatekeleza majukumu yake kwa Sheria, Kanuni na Miongozo na Wala si kwa viapo. Kawadanganye wajinga wenzio huko.
Weka hapa documents zinazoonesha CDM iliwahi kugomea ruzuku.
 
Back
Top Bottom