sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Kura zipi sasa? Kura za urais? Kura za ubunge? Kura za udiwani? Au kura zote za uchaguzi, yaani urais+ubunge+udiwani?Kutokana na idadi ya kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura zipi sasa? Kura za urais? Kura za ubunge? Kura za udiwani? Au kura zote za uchaguzi, yaani urais+ubunge+udiwani?Kutokana na idadi ya kura
narudia tena wewe nguruwe na hao malaya wenzako 19 mnaelewa ruzuku inatolewaje au kukosa kwako elimu unafikir unaweza kuleta kero kwa wengine, ujinga wako hauwez kusumbua sanasana utakutana na mimi dawa yenu humuhumu na nitawanyoosha mpaka akili ziwarudi kwa upumbavu wenu.Comment yako hii haiondoi uhalisia wa kile Chadema na Lissu walikuwa wanakisimamia kabla ya kuanza kula matapishi yao sasa
sukuma gang taften kaz za maana kufikia 2025 tutawafuta kabisa mlizoea kuuwa watu huo ndio mwisho wenu baada ya hapo mtaenda kuzikwa chato mtake msitake.Ukiwafuatilia baadhi ya wachangiaji, haswa wale wanaotetea misimamo ya CHADEMA Utagundua kuwa na wao hawaelewi,yaani wana ukasuku fulan katika suala la ruzuku-Mara 'tuna mbunge' mara 'sababu za , ushiriki wa uchaguzi' mara 'sheria inaruhusu, inasema hivyo'- wapo wapo tu kama Lissu...
Kweli bwana Kisamv, watwangie tu wachague, mbaazi, njegere au kunde
😁😁😌
uvccm na sukuma gang tulishawagonga kikamilifu na wananchi wanaikubali chadema kinoma huku nguruwe wa lumumba hamjui mfanye nin na 2025 tunawafuta kabisa uso wa dunia.Analeta habari za Nguruwe haramu ila supu yake halali.
Ina maana Chadema sheria hiyo ya tume wameijua leo na siyo toka 2020 walipotutangazia kuwa hawawezi kuchukua ruzuku kwa uchaguzi haramu?
Jamaa ni vinyonga ajabu.
Mimi sio level yako wewe sukuma gang kukosa kwako elimu usifikir kila mtu ni mjinga kama wewe, kwa taarifa yako ruzuku imechukuliwa na wewe na wajinga wenzio hamna cha kufanya, mlizoea kuuwa na kuteka watu ili mlipwe na yule mpuuz wenu sasa amekufa mmebaki wajane ambao hata kwenda kuomboleza chato hamtaki ikifika 2025 tunawafuta kabisa uso wa dunia sukuma gang wote.Mjinga kazi yake matusi hana hoja! Na wewe ni mmoja wao
Kwa nini wanachukua Ruzuku leo na siyo awali?
Nenda ukumpatie massage Tundu Lissu. Hutaki!sukuma gang taften kaz za maana kufikia 2025 tutawafuta kabisa mlizoea kuuwa watu huo ndio mwisho wenu baada ya hapo mtaenda kuzikwa chato mtake msitake.
Wewe ndio kikazi kweli, ruzukuInasikitisha na kutia aibu sana!
Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.
Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!
Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!
Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,
Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.
Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣
Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?
Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!
Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!
Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Uzuri tu ni kwamba mapema kabisa kabla ya uchaguzi wa 2020 wapo wanasiasa wa upinzani wenye uwezo wa kuona mbali na wanaotanguliza maslahi ya taifa kwanza walijitokeza hadharani kutaka kuliponya taifa kutokana na siasa za chuki, uadui na ubaguzi zilizorasimishwa na awamu ya tano. Shetani hakulala! Hawakusikilizwa! Lakini Mungu aliye hai akaingilia kati na kunusuru watu wake. Sasa watu wa Mungu wameanza kuzungumza na kutafuta jinsi ya kuliponya taifa lao. Matokeo ya awali ya mazungumzo hayo ni namna bora ya kusonga mbele badala ya kuangalia nyuma kama ambavyo Rais SSH alitamka mara baada ya kuapa. Ili kuonyesha nia njema kila upande unapaswa kuondosha misimamo mikali inayoweza kupunguza kuaminiana. Hatujatangaziwa ni misimamo gani hiyo iliyoondoshwa lakini wenye macho wanaona. Tatizo kubwa la wanufaika wa siasa zile muflisi za chuki, ubaguzi na kufarakanisha jamii ni hayo maridhiano; hawayapendi kabisa. Sasa huo ndio ushetani uliopandikizwa miongoni mwetu na kuaminishwa eti ni uzalendo, ushupavu, ushujaa, uchuma, nk. Kazi ya shetani ni kuharibu!Hiyo hoja kwa sheria yake hakuna anayeipinga! Shida inaanzia tu pale chadema walipotangaza hadharani kuwa! Hawatachukua Ruzuku yoyote na kwamba hata huo uchaguzi hawautambui lakini pia, ni miaka kadhaa ilipita kweli bila ya wao kuchukua Ruzuku, kwa nini sasa?
Kigezo cha ruzuku siyo idadi ya wabunge bali idadi ya kura zilizopatikana kwenye uchaguzi wa rais.Sawa ila walikataa na sababu yao ya msingi ni kwamba hawakutambua uchaguzi,hawatambui wabunge wao 19 walio bungeni,na hawamtambui mbunge wao na kila kitu,waka susa wakakimbia nchi ila wamerudi mlango wa nyuma wamechukua Ruzuku tena kubwa kuliko vyama vingine vya upinzani mana wao wana wabunge wengi huko bungeni.
Havina 5% hata viti maalum hupati kama hujafika 5% za kura zote majimboni. Yaani sio mpaka ushinde hata wabunge wako walioshindwa kura zao zinajumlishwaAcha basi ukigeugeu Mkuu!
Kuna vyama vingapi vilishiriki uchaguzi havina luzuku kwa sababu havina mbunge hata mmoja?
Chadema wanapokea ruzuku sababu ya maridhiano Sasa demands zenu zote zimekubaliwa unasusa Nini tena? So unapokea ruzuku kama sign of goodwill kama ambavyo Samia kakubali masuala ambayo CCM hawataki kusikia kama mikutano, tume huru n.kInasikitisha na kutia aibu sana!
Msimamo wa Tundu Lissu na Chadema ni kutowatambua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka ndani ya chama hicho.
Msimamo huo huo pia, ni kutokumtambua mbunge halali wa chama hicho Aidan Joseph Kenan tokea tu walipoapishwa, na chama chao kiliapa kutochukua kabisa ruzuku itokanayo na ubunge wao hewa!
Mh Tundu Lissu ukiulizwa swali leo katika mahojiano ya kipindi cha Medan za siasa katika chanel ya startv kuhusu suala la chama kupokea ruzuku kwa wabunge ambao chama kimekuwa hakiwatambui toka kuapishwa kwao!
Tundu Lissu ni kati ya viongozi wa Chadema ambao wamekuwa na msimamo huo tangu tu uchaguzi wa 2020 ulipokwisha,
Mh Lissu amepata shida na kigugumizi kikubwa mpaka anapata la kuudanganya umma kama siyo kujidhalilisha na kuondoa kabisa hamasa ya yeye kuendelea na kipindi hicho.
Mh. Lissu anasema, Chadema kinapokea luzuku kwa sababu tu ya sheria za tume na siyo chama kutambua wabunge! 🤣🤣
Ningekuwa Mimi ningemwongezea swali lingine tena. Yaani chadema hakitambui kwamba kinawabunge ambao wako Bungeni, halafu kitambue uwepo wa ruzuku? Chama hiki kimekuwa Chuma ulete?
Haki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wetu anajua kuwadhalilisha hawa watu wasiojitambua!
Ukiwa na msimamo, tafadhari usionyeshe unyonge na kuyumba kiwepesi!
Tunahitaji kuwa na Magufuli mwingine mwenye misimamo isiyoyumba hata mbele ya kifo
Sababu walikua hawajaanza vikao vya maridhiano. Sasa mmeshapewa vyote mnavyotaka why mkaze msimamo ilihali CCM wamelegeza misimamo kadhaa ikiwemo mikutano, kukubali tume huru, tume ya haki jinai, kuondoa sukuma gang serikalini n.kWalipoapa kutokuchukua luzuku yao hiyo sheria haikuwepo?
Siyo sahihi kujumlisha kuwa mawazo haya ya kihayawani ni ya ccm, la hasha. Watu wenye mawazo haya ni wale wahuni walioiteka nyara ccm kipindi kile cha giza na kuifanya mali yao. Sasa wahuni hao wamejua siku zao zimekwusha wamejikita katika kuhujumu jitihada za kuliponya taifa. Ili wasigundulike haraka kuwa ni mawakala wa ule ushetani wanachelea kushambulia uongozi ulioko madarakani unaodhamini mazungumzo hayo na badala yake wanapoteza lengo kuwashambulia wapinzani walioasisi wazo lenyewe.huna uelewa ndio maana wafuas wa ccm huwa mnaitwa NGURUWE kwa taarifa yako hao makahaba wenu hata wakiondolewa leo ruzuku ya chadema iko palepale ila kwa kuwa ccm inafuga mashoga akili ilishawatoka mmebaki na jambo moja tu.
Wewe ndio mjinga!Siyo sahihi kujumlisha kuwa mawazo haya ya kihayawani ni ya ccm, la hasha. Watu wenye mawazo haya ni wale wahuni walioiteka nyara ccm kipindi kile cha giza na kuifanya mali yao. Sasa wahuni hao wamejua siku zao zimekwusha wamejikita katika kuhujumu jitihada za kuliponya taifa. Ili wasigundulike haraka kuwa ni mawakala wa ule ushetani wanachelea kushambulia uongozi ulioko madarakani unaodhamini mazungumzo hayo na badala yake wanapoteza lengo kuwashambulia wapinzani walioasisi wazo lenyewe.
Walipoapa kutokuchukua luzuku yao hiyo sheria haikuwepo?
🤣🤣Mimi sio level yako wewe sukuma gang kukosa kwako elimu usifikir kila mtu ni mjinga kama wewe, kwa taarifa yako ruzuku imechukuliwa na wewe na wajinga wenzio hamna cha kufanya, mlizoea kuuwa na kuteka watu ili mlipwe na yule mpuuz wenu sasa amekufa mmebaki wajane ambao hata kwenda kuomboleza chato hamtaki ikifika 2025 tunawafuta kabisa uso wa dunia sukuma gang wote.
Asante mkuuRuzuku sio Luzuku.