Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Shetani tuepukie mbali huko

Tutashitakiwa MIGA, msaliti mkubwa
Shetani ameshawaepusha watanzania mbali tangu siku ile ya march 17/ 2021 alipomchukua shetani.
Sasa tu huru
Mungu ni mwema
 
Shetani ameshawaepusha watanzania mbali tangu siku ile ya march 17/ 2021 alipomchukua shetani.
Sasa tu huru
Mungu ni mwema

17 March 2021, tuliondokewa na Nabii.

Ahsante Mungu Kwa zawadi ya Magufuli, Mzalendo.
 
17 March 2021, tuliondokewa na Nabii.

Ahsante Mungu Kwa zawadi ya Magufuli, Mzalendo.
Nabi gani asiyeheshimu sheria?
Unaiba uchaguzi kisha unaingiza wabunge haramu 19 bungeni?
Nabii anahojiwa kuhusu shule yake (PhD) kisha badala ya kujibu kwa hoja anaua watu (Ben sanane)
Nabii wa kuteka watu???
 
Nabi gani asiyeheshimu sheria?
Unaiba uchaguzi kisha unaingiza wabunge haramu 19 bungeni?
Nabii anahojiwa kuhusu shule yake (PhD) kisha badala ya kujibu kwa hoja anaua watu (Ben sanane)
Nabii wa kuteka watu???
Mimi na wewe wote tuko sahihi Kwa angle tofauti,

Wewe umeamua kumtafsiri Kwa mabaya na mapungufu yake,

Mimi nimeamua kumtafsiri Kwa mazuri yake, Hasa sifa ya UZALENDO.

Ubarikiwe.
 
Salaam, Shalom!

Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,

Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.

Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.

NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!

CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀

Chanzo/Source: WANANCHI TV.


Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,

Mungu ibariki CHADEMA.

Amen
Chadema wanasubiri mtu atayekatwa ccm!
 
Shetani tuepukie mbali huko

Tutashitakiwa MIGA, msaliti mkubwa
"Tanzania ni dona kantri , tunajengea miladi na hela za ndani" alisikika raisi wa wanyonge wapumbavu mwisho wasiku alinyakuliwa na ka korona
 
Mimi na wewe wote tuko sahihi Kwa angle tofauti,

Wewe umeamua kumtafsiri Kwa mabaya na mapungufu yake,

Mimi nimeamua kumtafsiri Kwa mazuri yake, Hasa sifa ya UZALENDO.

Ubarikiwe.
Ni kweli lakini yule hakuwa mzalendo. Wazalendo hawaibi kura na hawafikiri badala ya wengine. Hakuwa nabii alikuwa mtu muovu
 
Lazima akutane na hasira za Mbowe. Lissu ajue sumu haionjwi.
CHADEMA ni nyumba ya DEMOKRASIA.

Ya Ndugai huwezi yashuhudia kule.

Mnyika aliwahi kumwachia Jimbo Kubenea na Amani ikiendelea kama kawa,

Ukionyesha Kutia Nia Jimbo la Tulia, nk nk, unatafuta kupigwa kitu kizito.
 
Ni kweli lakini yule hakuwa mzalendo. Wazalendo hawaibi kura na hawafikiri badala ya wengine. Hakuwa nabii alikuwa mtu muovu
Kwa upande wa UZALENDO apewe maua yake.

Ndiye aliyeleta SHERIA ya Ulinzi wa Raslimali za Nchi,

Na ndo zimekwamisha Kwa kiasi Fulani aliyepo asiuze Kila kitu.

Mimi nachagua kusimama upande huo,

Wewe kaa upande unaamini.

Mwisho wa siku ndo DEMOKRASIA yenyewe.

Ubarikiwe.
 
CHADEMA ni nyumba ya DEMOKRASIA.

Ya Ndugai huwezi yashuhudia kule.

Mnyika aliwahi kumwachia Jimbo Kubenea na Amani ikiendelea kama kawa,

Ukionyesha Kutia Nia Jimbo la Tulia, nk nk, unatafuta kupigwa kitu kizito.
Unakumbuka Mbowe alivyomwambia Sumaye kuwa sumu haionjwi? Demokrasia ya CHADEMA ni takataka. Ukiutaka uenyekiti ni kama vile unataka ku-commit suicide.
 
Back
Top Bottom