Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Tundu Lissu azungumza kwenye msiba wa Askofu Kweka

Salaam, Shalom!

Mh Tundu Lissu alipopewa nafasi kuzungumza katika msiba wa Askofu Kweka, ameeleza yafuatayo kumhusu Marehemu Askofu Kweka akiquote wasifu wake kuwa,

Marehemu Askofu Kweka alisoma chuo Cha chama pale Kivukoni mwaka 1969 katika masuala ya siasa na uongozi, hivyo aliyajua ipasavyo masuala ya siasa.

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa, Askofu Kweka,ndiye aliyehusika kumdokeza aingie katika ulingo wa siasa akiwa na miaka 29 tu, na aligombea Ubunge mwaka 1995, japo alishindwa.

Tangu hapo, Mh Tundu Lissu aliendelea na harakati za siasa na aligombea na kushinda ubunge, na mwaka 2020 alichukua fomu kupeperusha bendera ya chama chake Kwa nafasi ya mgombea Urais.

NB: Kwa kuwa Mh Tundu Lissu, hakukanusha kuwa HATOGOMBEA nafasi yoyote uchaguzi ujao, ni Imani yangu, Mh Tundu Lissu ametuma ujumbe kuwa atagombea uchaguzi ujao 2025 japo hakusema nafasi atakayogombea katika ya Udiwani, ubunge au Urais!!

CHADEMA,imeendelea kutuonyesha jinsi Gani imekomaa kisiasa, sababu Mh Lissu Ameyasema haya mbele ya Mh Mbowe na Lema wakiwa wanatabasamu.😀😀😀

Chanzo/Source: WANANCHI TV.


Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿,

Mungu ibariki CHADEMA.

Amen

==
NB: Tundu Lissu hakuzungumza kitu kuhusu Uchaguzi wa Mwaka 2025, bali amezungumza namna ambayo alikuwa amefahamiana na viongozi wa dini.
Ameeni
 
Tatizo la Lisu uongo mwingi.Kwa mfano,huwa anasema siku anapigwa risasi Magufuli masaa mawili tu kabla alikuwa ametoka kusema wasaliti hawana budi kuuawa.Inawezekana Magufuli aliwahi kutamka maneno hayo,lakini siyo siku hiyo hiyo aliyopigwa risasi.
Pia sheria za kulinda maliasili za taifa zilizotungwa mwaka 2017 ambazo Lisu alizipinga sana siku zinajadiliwa bungeni,lakini sasa hivi ndizo anazitumia kuikosoa Serikali kuhusiana na bandari na misitu,mbuga nk.
Hasemi kuwa sheria hizo hazifai tena.Vile vile,hataki kukiri kuwa sheria hizo zimekuwa na manufaa makubwa hususan kwa upande wa madini.
Siyo muungwana na ni muongo mkubwa.
Mkuu fanyeni uchunguzi mjisafishe na uongo wake.
Maneno matupu hakun wa kuwaamini
 
Kuna chama Fulani, kinatamani 2025 kisiwepo chama chochote kitakachosimamisha mgombea, sijui HOFU Yao ni nini,

Tusubiri!!
Daah wako ladhi kuuza rasilimali zote za nchi ikiwa kuna beberu atawasaidia hili
 
Tatizo la Lisu uongo mwingi.Kwa mfano,huwa anasema siku anapigwa risasi Magufuli masaa mawili tu kabla alikuwa ametoka kusema wasaliti hawana budi kuuawa.Inawezekana Magufuli aliwahi kutamka maneno hayo,lakini siyo siku hiyo hiyo aliyopigwa risasi.
Pia sheria za kulinda maliasili za taifa zilizotungwa mwaka 2017 ambazo Lisu alizipinga sana siku zinajadiliwa bungeni,lakini sasa hivi ndizo anazitumia kuikosoa Serikali kuhusiana na bandari na misitu,mbuga nk.
Hasemi kuwa sheria hizo hazifai tena.Vile vile,hataki kukiri kuwa sheria hizo zimekuwa na manufaa makubwa hususan kwa upande wa madini.
Siyo muungwana na ni muongo mkubwa.
Huyo jamaa ni mropokaji aliwahi sema tutashtakiwa MIGA na Barrick kisa makontena ya mchanga wa mgodini😂😂
 
Daah wako ladhi kuuza rasilimali zote za nchi ikiwa kuna beberu atawasaidia hili
una rasilimali gani zilizobaki ambazo hamjaziuza? au bado mdogo wewe huijui vizuri ccm. fikiria chama ambacho kiliamua KUUZA NYUMBA ZA UMMA KWA VIONGOZI TENA BAADA YA KUKARABATIWA NA PESA ZA UMMA. kisha serikali ikajenga nyingine za viongozi zile za mikocheni
hawa ndio walinda mali za umma kwa akili zako za kichawa?
 
….. fisadi papa, don wa …dengu, nafiki, jangili, tapeli, dikiteta, etc
wewe kweli chawa ndo mana unapenda kutaja mabaya ya viongozi wako hapo lumumba na kuwavisha wengine
fisadi ametajwa ukurasa wa ngapi kwenye ripoti ya CAG
Jangili kinana unae hapo lumumba
uchafu wote unao mpaka mkazaliwa nyie chawa kisha unawasingizia watu
unajisikiaje kujiita chawa mfano
 
una rasilimali gani zilizobaki ambazo hamjaziuza? au bado mdogo wewe huijui vizuri ccm. fikiria chama ambacho kiliamua KUUZA NYUMBA ZA UMMA KWA VIONGOZI TENA BAADA YA KUKARABATIWA NA PESA ZA UMMA. kisha serikali ikajenga nyingine za viongozi zile za mikocheni
hawa ndio walinda mali za umma kwa akili zako za kichawa?
Hahahaa.......wameshauza ardhi, mafuta na gesi, na juzi nimesikia wanauza Maji.

Bado hewa tu
 
wewe kweli chawa ndo mana unapenda kutaja mabaya ya viongozi wako hapo lumumba na kuwavisha wengine
fisadi ametajwa ukurasa wa ngapi kwenye ripoti ya CAG
Jangili kinana unae hapo lumumba
uchafu wote unao mpaka mkazaliwa nyie chawa kisha unawasingizia watu
unajisikiaje kujiita chawa mfano
Mbowe mbona anajulikana ni jizi, liliiba hela za ruzuku likaenda kuanzisha green house likafeli, likaenda kulima moro liliyemkabidhi kusimamia shamba akashindwa limbowe lika ratibu mauaji akakatwa mapanga akafa, chacha wangwe liliua hahahaha mr dj zero hahahaha, yaani sisi chawa hatumuacha mpaka siku afe kabisa tena ile kesi ya ugaidi ikirudi ahukumiwe kifo cha kunyongwa mpaka kufa maana alishangilia sana kifo cha dkt Magufuli
 
Mbowe mbona anajulikana ni jizi, liliiba hela za ruzuku likaenda kuanzisha green house likafeli, likaenda kulima moro liliyemkabidhi kusimamia shamba akashindwa limbowe lika ratibu mauaji akakatwa mapanga akafa, chacha wangwe liliua hahahaha mr dj zero hahahaha, yaani sisi chawa hatumuacha mpaka siku afe kabisa tena ile kesi ya ugaidi ikirudi ahukumiwe kifo cha kunyongwa mpaka kufa maana alishangilia sana kifo cha dkt Magufuli
Huyo magufuli sasa yupo wapi wewe chawa? kuandika kwenyewe shida utamuweza mbowe wewe
unasumbuliwa na ujinga wa kihalaiki wewe
 
Huyo jamaa ni mropokaji aliwahi sema tutashtakiwa MIGA na Barrick kisa makontena ya mchanga wa mgodini😂😂

..mbona ni kweli tumeshtakiwa.

..hukumuona Prof.Mruma aliyeandika ripoti za makinikia akijinyea-nyea wakati akitoa ushahidi ktk mahakama ya kimataifa?

..na hukumu zimetoka tuwalipe mabeberu mabilioni.

..magufuli, Kabudi, na kilangi, ndio waliopotosha kuwa hatutashtakiwa.
 
Huyo magufuli sasa yupo wapi wewe chawa? kuandika kwenyewe shida utamuweza mbowe wewe
unasumbuliwa na ujinga wa kihalaiki wewe
Hahaha afadhali sisis tulishazoea ila nyie bado ngoma kibao zitaanguka hahahaha, kila kikidondoka kitu tutashangilia hahahaha mpaka mtaomba poooo
 
Shetani tuepukie mbali huko

Tutashitakiwa MIGA, msaliti mkubwa
[emoji116]
Screenshot_20231019-081929.jpg
 
..mbona ni kweli tumeshtakiwa.

..hukumuona Prof.Mruma aliyeandika ripoti za makinikia akijinyea-nyea wakati akitoa ushahidi ktk mahakama ya kimataifa?

..na hukumu zimetoka tuwalipe mabeberu mabilioni.

..magufuli, Kabudi, na kilangi, ndio waliopotosha kuwa hatutashtakiwa.
Issue ya Profesa Mruma ni tofauti kabisa na ya kusafirisha mchanga wa mgodini, ile ilitokea miaka hiyo ya nyuma
 
Issue ya Profesa Mruma ni tofauti kabisa na ya kusafirisha mchanga wa mgodini, ile ilitokea miaka hiyo ya nyuma

..hiyo ya kuzuia michango si baadae alikuja kuruhusu?

..na mkataba ambao Magufuli alisaini unaruhusu migogoro kusikilizwa na kuamuliwa ktk mahakama za kimataifa.

..Magufuli alitunga sheria kwa mbwembwe nyingi halafu yeye mwenyewe akazivunja.

..Mimi nahisi Barrick walimhonga.
 
..hiyo ya kuzuia michango si baadae alikuja kuruhusu?

..na mkataba ambao Magufuli alisaini unaruhusu migogoro kusikilizwa na kuamuliwa ktk mahakama za kimataifa.

..Magufuli alitunga sheria kwa mbwembwe nyingi halafu yeye mwenyewe akazivunja.

..Mimi nahisi Barrick walimhonga.
Hapana kwa kweli, Lissu alisema tutashtakiwa kutokana na kuvunja sheria na tutadaiwa fidia kutokana na kumsababishia hasara kubwa mwekezaji

Magu akakataa akasema tupo sawa kwa sababu wamefanya udanganyifu wa kile kilichomo kwenye makinikia kwani kina thamani zaidi ya kile kinachotajwa

Wakatishia we lakini badala ya kujua kuwa wameyumba, wakaomba mazungumzo na wakalipa dola milioni 300 pia ikatumika sheria mpya ambayo serikali ikawa na uwakilishi ndani ya bodi na asilimia kadhaa katika kila uwekezaji katika maliasili ikiwemo hayo madini


Kuhusu sheria hiyo inafahamika ilisema kuwa migogoro yote isikilizwe katika mahakama za ndani, mpaka juzi hapa baada ya kuja dp world umeona sekeseke la kutaka sheria hiyo ibadilishwe na ikasikilizwe nje


Kuhusu hizo kesi unazosikia zilifunguliwa kabla ya sheria mpya na zile baada ya sheria mpya, waliakisi makubaliano waliyoyaingia wakati wanasaini mkataba
 
Back
Top Bottom